Friday, 4 December 2015

HIZI NI FAIDA ZA TANGAWIZI KATIKA MWILI WA BINADAMU



ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA TANGAWIZI.

TANGAWIZI ZINA UWEZO WA KUTIBU MAGONJWA ZAIDI YA 72



Tangawizi ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya mmea wa Tangawizi.
Mmea huu unafanana sana na Binzari ikiwa bado haijamenywa maganda yake. Na kwa hapa Tanzania Tangawizi hulimwa sana mikoa ya nyanda za juu Kusini na baadhi ya mikoa kama Kilimanjaro, baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara, Morogoro, na kwingineko nchini.
Pia kama bidhaa inapatikana nchi nzima kwa bei nafuu kabisa na kila mtu mwenye uwezo wowote wa kiuchumi anaweza kununua aidha kwa kipande kimoja, fungu au kwa kilo pia.

Tangawizi inatumikaje ?:
Mmea huu unaweza kuonekana kama mmea wa kawaida na watu kuutumia tu kama mazoea lakini Kiungo hiki kinaweza kutumiwa kama Dawa. Kiungo hiki huweza kutumika kikiwa kibichi au kikiwa kimekaushwa na kutengenezwa unga.

Nini Faida ya Tangawizi?
Tangawizi ni mmea kati ya mimea mingi yenye maajabu, Mmea huu unaweza kutumika kama dawa na kutibu magonjwa mengi tu zaidi ya 72 yaliyo ndani ya miili yetu na kutuacha tukiwa wazima na kutekeleza majukumu yetu ya kila siku.

Pia kiungo hiki kinafaida zaidi kwa Wagonjwa hasa walio athirika na Ugonjwa wa UKIMWI. Hivyo chonde kwa wale wenye matatizo kama haya wanaweza kupata faida zaidi ya Maajabu ya Mmea huu wa Tangawizi.

Jinsi ya kuitumia kama Dawa:
Tangawizi ikiwa imesagwa au Mbichi iliyopondwa pondwa inaweza kutumika kama Kinywaji kama ilivyozoeleka kwa watu wengi.

Namna rahisi ya kuitumia Tangawizi ni katika chai, inakuwa ni mbadala wako wa majani yale meusi ya chai ambayo yenyewe huwa na Caffein ambayo hupelekea magonjwa mengi mwilini (soma kuhusu kansa na uzito kupita kiasi kuyajua madhara ya kutumia majani ya chai nyeusi), Pia inaweza kutumika katika vyakula hasa nyama na mbogamboga zingine, inaweza kuongezwa katika juisi freshi pia na kuleta radha nzuri ambayo ni dawa pia.

Hutibu Magonjwa gani ?
Tangawizi husaidia yafuatayo:

Kuongeza hamu ya kula,
Kupunguza kichefuchefu
Kutapika, kuharisha,
Kisukari,
Shinikizo la damu,
Kuongeza msukumo wa damu,
Kutoa sumu mwilini,
Maumivu ya tumbo na
Gesi tumboni.
husaidia uyeyushwaji wa chakula tumboni.
husaidia wakati wa matatizo ya mafua au flu na magonjwa mengine mengi.

Kama utakuwa makini au kuwahi kuwahudumia wagonjwa wa UKIMWI basi magonjwa hayo hapo juu ni kati ya Magonjwa nyemelezi yanayo wasumbua sana hawa ndugu zetu hivyo wakitumia Tangawizi basi wataweza kuondokana kabisa na matatizo hayo na kuishi vizuri na kutekeleza majukumu yao ya kila siku na kuepukana na kulala tu kitandani.

Kwa tiba na ushauri kwa Magonjwa tabia yote mfano Kisukari, Presha, Moyo, Vidonda vya tumbo, Kupata choo kigumu, matatizo ya hedhi, ugumba/utasa, upungufu wa nguvu za kiume n.k, wasiliana nasi kwa;
0784925000
0767925000
0622925000 Whatsapp

Masha Masanja - Health Consultant
posted from Bloggeroid

TAMBUA FAIDA ZA TUNDA LA UKWAJU



Hizi Ndio Faida Kumi (10) Za Kula Ukwaju!

Unatakiwa ujaribu kuweka ukwaju karibu katika kila mlo wako kwa kila siku kwasababu ukwaju una faida nyingi kiafya ambazo hakika zitakufanya uwe na afya njema au kukuimarisha afya yako kiujumla

Watu waishio bara la Asia, Carribian na America ya kusini wanajua kuwa kula ukwaju maana yake ni Afya Njema.


Ukwaju unaoliwaa katika maeneo hayo una faida nyingi

Kwa hiyo siku nyingine unapoenda kufanya manunuzi ya vyakula
hakikisha unanunua na ukwaju. Ukwaju ni zao la rangi ya kahawia
ambalo limefungwa na kasha gumu. Ndani ya kasha hilo kuna vifundo vilaini ambavyo ndani yake kuna mbegu nyeusi.
Vifundo hivi ndiyo ambavyo watu wanakula ili kupata virutubisho na
faida za kiafya za ukwaju.

Ukwaju una ladha fulani ya uchachu
ukiwa bado mchanga, lakini kadiri unavyozidi kukomaa unakuwa na ladha tamu. Ingawa ukwaju unakuwa na utamu kadiri
unavyokuwa na kukomaa, kiujumla ukwaju ni mchachu.

Katika nchi kama Jamaica, Mexico, Aruba na India, ukwaju
unachanganjwa na sukari na kuuzwa kama pipi katika mitaa na
madukani. Kula ukwaju au bidhaa zitokanazo na ukwaju kuna faida sana. Ukwaju umejaa Vitamini, fiber, potassium, magnesium na virutubisho vingine muhimu kwa afya njema.

Lakini kati ya faida zingine nyingi za virutubisho na kiafya za
ukwaju, kuna kadhaa ambazo ni za muhimu zaidi, na ni kama
zifuatazo:
1. Ukwaju chanzo kizuri sana cha antioxidants ambazo zinasaidia kupigana na saratani. Ukwaju una carotenes, Vitamini C, flavanoids na vitamin B zote.

2. Ukwaju unakuepeusha na ukosefu wa Vitamini C.

3. Ukwaju unasaidia kupunguza homa na kukupa ulinzi dhidi ya
mafua.

4. Ukwaju unakusaidia kuyeyusha chakula tumboni.

5. Ukwaju unakusaidia kutibu matatizo ya nyongo.

6. Juisi ya ukwaju hutumika kama kitu cha kustarehesha mwili.

7. Ukwaju unapunguza cholesterols mwilini.

8. Ukwaju unasaidia kuwa na moyo wenye afya njema.

9. Ukwaju ukiunywa unasaidia kupooza koo.

10. Ukwaju ukiupaka kwenye ngozi unasaidia kutibu uvimbe.

Kwa Tanzania ukwaju unapatikana kwenye masoko
karibu yote.

Kwa tiba na ushauri wa magonjwa tabia yote mfano Kisukari, Presha, Moyo, Vidonda vya tumbo, Kupata choo kigumu, matatizo ya hedhi, ugumba/utasa, upungufu wa nguvu za kiume n.k, wasiliana nasi kwa namba zifuatazo;

0784925000
0767925000
0622925000
Masha Masanja - Health Consultant

posted from Bloggeroid

Tuesday, 24 November 2015

UNATUMIA TIBA SAHIHI, LAKIN KWANINI TATIZO LAKO LINAJIRUDIA...?


KWANINI UNAPATA TIBA SAHIHI LAKINI UGONJWA WAKO UNAJIRUDIA...?

Habari za leo ndugu Watanzania wenzangu, nawakaribisha tena leo katika makala zangu za Afya ili kuzidi kukumbushana mambo muhimu kuhusu Afya na Miili yetu kwa ujumla.

Somo letu leo linawahusu hasa wale wanaougua Ugonjwa wowote lakini baada ya muda fulani Ugonjwa wao hujirudia.

Baadhi ya Magonjwa hayo ni pamoja na Homa za mara kwa mara, UTI, Kikohozi cha muda mrefu, Kuumwa kichwa bila kikomo, Uvimbe kwenye kizazi, matatizo ya mizunguko ya hedhi, Upungufu wa Nguvu za kiume n.k

KWANINI MATATIZO HAYO HUJIRUDIA?
Kuna tatizo moja sugu sana ambalo Watanzania tumezoea kulifanya, nalo ni kupenda kutibu dalili tu ya tatizo badala ya kutibu chanzo cha tatizo.
Imezoeleka kuwa mtu akijisikia basi yeye anachokifanya ni kuhakikisha hayo maumivu yanapotea tena kwa kutumia vidonge vya maumivu tu. Hataki kujishughulisha kujua KWANINI ANAUMWA? NINI CHANZO?

Wadada wengi wanasumbuliwa na maumivu na mizunguko mibovu ya hedhi, nao wanakimbilia kujipiga vidonge vya maumivu tu..!!!
Mwingine ana Uvimbe kwenye kizazi, basi yeye anaamua kwenda kufanyiwa operation ya kuondoa tu huo uvimbe, hajui kuwa Uvimbe utajirudia na hataki kuondoa chanzo cha uvimbe. Sasa utaondoaje Uvimbe huku chanzo chake ambacho ni HORMONAL IMBALANCE bado umekiacha...!!!
Tabia yako ya kula vitu vinono vyenye mafuta mengi, sukari nyingi hutaki kuviacha lakini jambo la ajabu hutaki kuugua..!!!!

Mwanaume mwingine ana upungufu au hana kabisa NGUVU ZA KIUME, anachokifanya yeye ni kutafuta tu vidonge vya nguvu za kiume(Vega) na kuanza kutumia bila kujua madhara yake na pia atakuwa hawezi kufanya tendo la mpaka ameze hivyo vidonge. Kiufupi vidonge hivyo vinakufanya uwe tegemezi maisha yako yote.
USITUMIE DAWA KWA AJILI YA KUSISIMUA, TUMIA DAWA KWA AJILI YA KUTIBU TATIZO.

DAWA ZINAZOTIBU MAGONJWA HAYO KWA KUANZA NA KUTIBU CHANZO CHA UGONJWA ZIPO, DOZI ZAKE NI KUANZIA MIEZI MIWILI HADI MITATU NA TATIZO LINAISHA KABISA.

MAWASILIANO:
0767925000
0622925000(WHATSAPP)

TUNAPATIKANA MWANZA, TANGA, MOROGORO, MBEYA NA DAR


USITIBU DALILI YA UGONJWA, TIBU CHANZO CHA UGONJWA
posted from Bloggeroid

Tuesday, 10 November 2015

TIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA SIKU 8 TU KISHA UFURAHIE MAISHA YA TENDO LA NDOA

Mimea ya Superba inavyotumika kutengeneza vidonge kwa ajili ya matatizo ya ndoa.

Ni vidonge vilivyotengenezwa kwa mimea kwa ajili ya kuwasaidia Wanaume wote ambao nguvu za kiume zimepungua au hawana kbs.
Hayo yote yanafanyika kwa muda wa siku 8 kwa kumeza vidonge vinane tu.
FAIDA ZAKE
1. Huimarisha misuli ya uume hasa kwa wale walioathiriwa na upigaji wa punyeto
2. Huongeza uzalishwaji wa mbegu za kiume na kusaidia kuchelewa kumaliza wakati wa tendo la ndoa.
3. Huongeza hamu ya tendo la ndoa

NB: NI TIBA YA MOJA KWA MOJA HAUTATUMIA DAWA TENA

Call/sms 0767925000
Whatsapp 0622925000



posted from Bloggeroid

Thursday, 5 November 2015

JINSI YA KURUDISHA KINGA YA MWILI KWA KUTUMIA UYOGA MWEKUNDU






Kwa kawaida kinga ya mwili ndiyo kila kitu kinachouendesha mwili hasa katika kuulinda usishambuliwe na magonjwa ya aina mbalimbali.
Mara zote kinga ya mwili inapokuwa juu basi siyo rahisi mtu kuugua hasa magonjwa madogo madogo na hata makubwa pia.

JE, NITAJUAJE KAMA KINGA YA MWILI WANGU IMESHUKA?
Watu wengi huwa wamekariri kuwa mtu ambaye kinga ya mwili wake imeshuka ni mgonjwa wa muathirika Ukimwi, Hii dhana siyo ya kweli kabisa, sasa leo kupitia makala hii utajua mtu ambaye kinga yake ya mwili imeshuka anakuwaje.
Kwa kifupi ni watu wengi sana ambao kinga yao ya mwili imeshuka ila hawajitambui lakini wanaishia kulalamika kuwa wanaumwa matatizo mbalimbali.

Sasa ukiwa na matatizo au dalili zifuatazo basi tambua kabisa kuwa kinga yako ya mwili imeshuka na unaweza kuchukua tahadhari mapema.

1. Ukiwa unaugua mara kwa mara hata kama ni mafua au homa yoyote basi jua kuwa kinga yako ya mwili ipo chini.

2. Mwili kuwa na uchovu au kujisikia kuchoka mara kwa mara

3. Maumivu ya kiuno na mgongo mara kwa mara.

4. Kukosa usingizi hadi kufikia hatua ya kumeza vidonge vya usingizi ndipo unalala.

5. Kuwa na Ugonjwa wa Kisukari. Mgonjwa yeyote wa Kisukari kinga yake ya huwa ipo chini na ndo maana mtu yeyote mwenye tatizo hili huweza kuandamwa na magonjwa mengi sana.

6. Kwenda Hospitali ukiwa unaumwa lakini ukifanyiwa vipimo unaambiwa huna ugonjwa wowote japo wewe unajisikia kuumwa.

Na matatizo mengi yanayoambatana na hayo ikiwemo Wanaume wengi kuishiwa nguvu za kiume, Wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa, wanawake/wasichana wengi Kuugua magonjwa ya njia za mkojo kwa muda mrefu(UTI sugu).

MAMBO YA KUZINGATIA
-Epuka ulaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi, vyakula vilivyokaangwa, vilivyokobolewa, vyakula vya kwenye makopo(vyakula vinavyotengenezwa viwandani), uvutaji wa sigara, unywaji wa pombe, ulaji wa chips mara kwa mara, upigaji punyeto kwa wanaume n.k

Pia kula sana mboga za majani, matunda, samaki, nyama nyeupe, fanya mazoezi ya mwili, ugali wa dona, kunywa maji mengi, kula chakula kwa mpangilio kwa kuzingatia Lishe.

Hivyo basi, endapo tayari una hizo baadhi ya dalili za kupungukiwa kinga mwilini, tunakushauri usihangaike kutumia dawa zingine zozote, kwani tiba yako wewe ni kutumia uyoga mwekundu. Uyoga huu ambao wataalamu wanasema tangu zamani ulikuwa ukitumika katika matibabu ya kupunguza uzito, lakini utafiti wa sasa unaonyesha kuwa Uyoga huo ni mzuri mno katika KUREFUSHA MAISHA. Na maisha yanarefushwa na kutumia kinga imara.
Utafiti huo kuhusu Uyoga mwekundu ni kwa mujibu wa watafiti wa Chuo Kikuu cha Chang Gung.

Sasa utaupataje huo uyoga mwekundu?
Uyoga huu unapatikana nchini China pekee, sasa huku kwetu Afrika haupo. Lakini Wataalamu kutoka kiwanda cha Dawa cha Hangzhou Neptunus Bioengineering wameweza kuutengeneza uyoga huu katika mfumo wa vidonge ili iwe rahisi kupatikana popote.

Vidonge hivi vinakuwa 60 katika package moja na unavitumia kwa muda wa siku 10 tu na kuufanya mwili wako kuwa imara.

Vidonge hivyo pia vinawasaidia sana wagonjwa wa Kisukari, Presha na hata watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi kwani hupandisha sana kiwango cha kinga ya mwili na CD4.
Hata vijana walioathirika na upigaji wa punyeto dawa hii ni nzuri sana kwao kwani hurejesha madini muhimu ambayo yamepotea mwilini.

Upatikanaji wa vidonge hivi ni rahisi tu kwani unaweza kuvipta popote ulipo kwa mawasiliano yafuatayo:
0767925000
0784925000(whatsapp)

MIMEA NA MATUNDA NI DAWA, VITUMIE KWA AFYA BORA.

Masha Masanja - Health Consultant

posted from Bloggeroid

Tuesday, 3 November 2015

WANAWAKE: Jinsi ya kuondoa weusi katika mapaja ukiwa nyumbani kwako

HATUA SABA ZA KUONDOA WEUSI NDANI YA MAPAJA NA SEHEMU ZINGINE NYUMBANI KWAKO.

By Masha Masanja

Nimekuwa nikipokea maswali mengi sana kwa wadada wengi wakihitaji msaada wa hili wakitaka kujua hasa nini kisababishi baada ya kutumia vipodozi vingi vya kujichua na kuchubua bila mafanikio.

Napenda niseme kwamba hakuna kitu kinachosumbua kisaikolojia na kihisia kama kuwa na weusi katika ndani ya mapaja, kwapa na sehemu zingine, kwani hali hiyo inakunyima uhuru wa mavazi na kujiachia unapokuwa na mwenza wako. Ndio maaana wanawake wengi wamekuwa wakijaribu njia nyingi sana bila mafanikio hasa unapofikia hadi kutumia kemikali kali ambazo zinakuongezea tatizo kuwa sugu zaidi.
Basi usiwaze na huna haja ya kukosa uhuru tena katika maisha yako kwa tatizo hilo kama unajua kufanya utekelezaji wa kitu ulichofundishwa.

Kabla ya yote tuangalie visababishi vya tatizo hili kuanzia vitu vidogo vidogo hadi vitu vikubwa.

VISABABISHI VYA KUWA NA WEUSI KATIKA SEHEMU ZA MAPAJA ,KWAPA NA SEHEMU ZINGINE.

1. Msuguano kati ya sehemu mbili kwa muda mrefu.
Hii ni hali ambayo inawatokea sana watu ambao unakuta viungo vyao vimekaribiana sana hasa mapaja na husuguana na wengine hupelekea kupata maumivu makali sana na kuwapelekea kutumia nguo ndefu za ndani kupunguza msuguano huo.

2. Unene kupita kiasi
Pia hii ni hali ambayo huwatokea watu wa namna hii baadhi, kwa sababu ya uzito kuongezeka bila sababu na kupelekea sehemu hizo kuwa na msuguano mkali sana.

3. Matumizi mabaya ya deodorant spray

Watu wengi wanaotumia deodorant spray hasa zenye aluminium salt zinaziba vitundu vya ngozi na hatimaye ngozi yako kutopumua vizuri na hatimaye kuidhuru ngozi yako. Weusi wa namna hii unapatikana sana ktk kwapa.
4. Matumizi ya vipodozi vikali

Watu wamekuwa wakisumbuka kwa hali na mali kuondoa hiyo hali na wamekuwa wakijitahidi kwa namna yoyote kuondoa hiyo hali.
Lakini sasa matumizi ya vipodozi vikali vinaweza kuharibu sana na kuongeza tatizo kwa kuangamiza [melanocytes] ambazo ndizo seli zinazotengeneza melanin kiini kinachoipa ngozi rangi yake kiuhalisia

5. Vichocheo kuvurugika
Watu wengi wenye vichocheo vilivyovurugika unaweza ukamtambua kuwa ana hormone imbalance kwa dalili hii. Na wengi wapo katika kundi hili, unakuta ana ndevu,kwapa nyeusi na mapaja meusi na hadi kupelekea shingo nyeusi sana. Kumbuka hormon imbalance inatokea kwa wote mwanaume hata mwanamke.
Hivyo ukitaka kumsaidia tatizo hili ,hakikisha unarekebisha vichocheo vyake.

6. Ugonjwa wa polycystic ovarian syndrome [PCOS]
Huu ni ugonjwa unaoathiri ovary za mwanamke. Utakutana na mwanamke analalamika mzunguko mbovu, maumivu makali wakati wa hedhi na wengine watakwambia kuwa anajaribu kutafuta mtoto bila mafanikio.
Wagonjwa wengi wenye PCOS ni wahanga wa tatizo hili, hivyo unapotaka kumsaidia huyu angalia chanzo cha tatizo kisha tibu.

7. Ugonjwa wa kisukari.
Kuna watu maelfu ambao tayari wamegundulika na kisukari aina ya pili tayari tunawaita ni DIABETIC lakini pia kuna wale ambao bado wapo ktk safari ya kuangukia ktk kundi hilo endapo wasipojihadhari na kulinda afya [PRE DIABETIC]
Tofauti kati ya Diabetic na Pre diabetic ni kwamba mtu ambaye ni diabetic sukari huwa ipo juu na insulin pia huwa ipo juu ambapo pre-diabetes wao sukari huwa ipo kawaida kabisa lakini ukipima insulin ipo juu, na wana dalili zingine tunaziita kwa pamoja metabolic syndromes km hizo ecanthosis nigricans[weusi sugu sehemu nyingi] belly fats[ Nyama uzembe] ndio maana ni vigumu sana kumbaini mtu mwenye pre-diabetes kwa kutumia Glucometer[kipimo cha sukari] hadi pale utakapo tumia Insulin Sensitivity test [kipimo cha kuangalia wingi wa insulin]

Kiwango kingi cha insulin kwenye damu kwa muda mrefu kinachotolewa na kongosho kuja kusawazisha kiwango cha sukari kinasababisha seli za melanocytes kufanya kazi kupita kiwango stahiki na hatimaye kusababisha hyperpigmentation [Weusi].


ZIFUATAZO NI NJIA AMBAZO UNAWEZA KUTUMIA KUONDOA TATIZO

1. Pata ushauri kwa mtaalamu wa afya.
Hii itakusaidia kubaini nini hasa chanzo chake na ataanza kukutibu kulingana na tatizo lako baada ya kujua hasa kisababishi ni nini mpendwa.

2. Badili mwenendo Maisha yako katika lishe na mazoezi.
Hakikisha lishe yako unapunguza wanga nzito hasa nafaka, wali n.k pia punguza vyakula vyenye sukari na vionjo vya kemikali km soda.
Pia punguza kula gluten nyingi km vyakula vingi vya ngano iliyokobolewa.

Jitahidi kula sana matunda yenye vitamin C kwa wingi, A kwa wingi E kwa wingi, mboga za majani nk.

3. Majani ya Aloevera.
Chukua utomvu wa jani la Aloevera pale pale unapokata.
Paka kwenye sehemu yenye weusi na kisha acha ule utomvu kwa muda takribani nusu nasaa kisha osha na maji ya uvugu vugu/moto
Fanya hivi mara moja hadi mbili kwa siku ili kuweza kupata matokeo haraka.
Utafurahia jinsi gani mmea huu ulivyo na maajabu katika ngozi yako kwani ngozi mpya itatengenezwa haraka sana na jinsi gani ilivyo mashuhuri km strong natural antibiotics kwenye ngozi yako.

4. Yogurt
Kuna maajabu makubwa sana na yogurt kwani imekuwa ikitumika km natural bleaching agent kutokana na kiini chake [ingredient] lactic acidi pamoja na zinc yenye uwezo mkubwa wa kuzuia kuharibika kwa ngozi kutokana na jasho jingi sehemu za mapaja,shingoni na kwapa.

-Chukua yogurt paka sehemu husika kisha fanya massage [sugua] halafu acha kwa dk 10-15 na baada ya hapo osha na maji ya uvugu vugu.

Pia unaweza kuchukua yogurt kijiko kimoja cha chai ukachanganya na kipande cha limao kisha paka na sugua sehemu husika rudia mara 3 - 4 kwa wiki.

5. LIMAO
Limao ina uasili wa ASIDI ambao unafanya itumike kama Natural bleaching agent cha ngozi yako ambayo imeharibika.
Pia limao ina kiwango kingi cha vitamin C kinachosaidia seli za ngozi yako kuzalishwa upya na kasi ya ajabu.

Chukua pamba na chovya kwenye juisi ya limao kisha paka sehemu husika kisha acha kwa dakika 20 baada ya hapo osha na maji masafi.
Rudia zoezi hili mara 3 hadi 4 kwa wiki moja.

Note: Epuka kutumia juisi ya limao endapo ni muda mfupi umemaliza kunyoa na umejikata sehemu nyeti.

6. TANGO
Hii pia imekuwa ikishika nafasi kubwa kama ni natural bleaching agent ya ngozi.
Inauwezo mkubwa wa kuondoa seli za ngozi zilizokufa na kurudisha mpya haraka sana. Na hatimaye kufanya mapaja yako kuwa meupe na sehemu zingine.

Chukua kipande cha tango au juisi yake sugua sehemu husika kwa dk 10 hadi 15. Kisha acha angalau dk 10 tena baada ya hapo osha kwa maji ya uvuguvugu.

Pia unaweza kuchukua juisi ya tango, changanya na binzari [unga wake uliosaga] na limao kisha fanya hivyo hivyo.
Fanya zoezi hili mara mbili kwa siku.

7. Mafuta ya Nazi
Haya ni mafuta ambayo yamekuwa na umaarufu mkubwa wa kulainisha ngozi na kuifanya yenye kupendeza. Pia inaondoa sumu zote kwenye ngozi na kuwezesha ngozi kurudisha seli zilizokufa haraka sana.

-Changanya vijiko 5 vya mafuta ya nazi na vijiko
2 vya juisi ya limao
-Pakaa huu mchanganyiko kila siku kwa kusugua kwa dk 10 hadi 15 kisha osha na maji ya moto.

Najua umejifunza namna gani unaweza kuondoa woga wako juu ya tatizo hilo.

Please bofya like ukurasa wangu huu facebook unaitwa Masha Health Products.

Call: 0767925000
Whatsapp: 0622925000

STOP USING CHEMICAL BLEACHING AGENTS, WE HAVE MILLIONS OF NATURAL BLEACHING AGENTS!
posted from Bloggeroid

VYAKULA VINAVYOIMARISHA NGUVU ZA KIUME





Tukiwa tunaendelea na makala zetu maalumu kwa ajili ya kutokomeza upungufu wa nguvu za kiume hususani kwa kutumia Tiba Lishe, leo tunaangalia baadhi ya Vyakula ambavyo husaidia katika kuimarisha nguvu za kiume.

1. VYAKULA VYA NAFAKA
Nafaka husaidia katika kuzalisha homoni za Testosterone kwenye damu pia huwezesha mtu kuwa na nguvu hatimaye kuongeza nguvu za kiume.
Vyakula vya Nafaka ambavyo vimesheheni nishati nyingi, nafaka zina nyuzinyuzi(fibre) na sukari ambazo husaidia kutunza uzito wa mwili.
Kula nafaka zisizokobolewa kama vile brown bread badala ya white bread, pia kula nafaka halisi badala ya cornflakes ni jambo zuri kiafya zinasaidia kutoupa mwili mafuta mengi, ikumbukwe kuwa iwapo mwili una mafuta mabaya yanaharibu mishipa ya damu ikiwamo ya uume.

2. TANGAWIZI
Ni aina ya kiungo mizizi ambacho husisimua sana mfumo wa mzunguko wa damu mwilini. Mzunguko unapokuwa mzuri huwezesha damu kwenda sehemu ya viungo vya uzazi ikiwamo uume na hivyo kufanya nguvu za kiume kuwa imara.

3. ULAJI WA KARANGA
Inafahamika kwamba Ulaji wa karanga huenda kuamsha mishipa ya damu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumuongezea mtu uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa.

4. MVINYO MWEKUNDU
Mvinyo mwekundu unatajwa kuwa na uwezo wa kuuchangamsha mwili na kuongeza msukumo wa damu huku ikimwondolea mtu uchovu kabla na baada ya tendo la ndoa.
Hiyo ndiyo sababu kubwa kuikuta imewekwa katika vyumba kwenye Hoteli kubwa Duniani. Nchi kama Italia Mvinyo ni kinywaji ambacho hakikosekani mezani kutokana na kuaminika miaka kwa miaka katika tendo la ndoa.

5. VANILA husaidia kuamsha hamasa mwilini, vanila ni aina ya kirutubisho ambacho huwamo ndani ya vyakula ikiwamo ice cream.

6. ASALI ina madini yanayoitwa Boron ambayo husaidia mwili kutumia homoni.
Hata vitabu vya dini huelezea Ulaji wa ASALI na MASEGA yake kama mlo wenye kuupa mwili nguvu . Zipo tafiti kibao kuhusu faida za asali ikiwemo ya kuongeza nguvu za kiume.

7. CHOCOLATE
Ulaji wa chocolate huongeza uchangamfu mwilini hivyo kumuwezesha mtu anayeshiriki tendo la ndoa kuwa na mguso sahihi kwenye fikra zake.
Chocolate ina kemikali ya phenylethylamine ambayo husababisha hisia za furaha wakati wa mwanamke au mwanaume kufika kileleni. Pia chocolate ina kiasi kikubwa cha nishati inayokupa nguvu mwilini.

Vyakula vingine ni kama Pilipili manga, makoma manga, kweme na njugu mawe. Pia ulaji wa baadhi ya mboga za majani ni muhimu ila kwa sasa kuna changamoto kubwa kutokana na ulimaji wa mboga hizi kwa sasa wakulima wengi wanatumia mbolea na madawa mengi yenye kemikali hivyo kufanya mboga hizo kupoteza radha yake na hata kujiongezea matatizo mwilini. Hivyo mboga nzuri za majani ni zile unazoweza kulima na kuzitunza mwenyewe.

Kama tayari umeshaathirika na upungufu wa nguvu za kiume, tiba yako siyo vyakula ila ni kutumia dawa na hatimaye kurudi katika chakula sasa.

Tuna dawa zilizotengenezwa kwa mimea na utatumia kwa muda wa mwezi mmoja tu na unarudi katika hali yako ya kawaida.
Tunajua vijana wengi wameathirika na tabia ya kujichua na kujikuta wakiishia kuishiwa nguvu za kiume.

Tunapatikana Mwanza, Shinyanga, Tanga, Morogoro, Mbeya na Dar es salaam.
Mikoa mingine huwa tunatuma dawa kupitia ofisi za Mabasi ya mikoani.

MAWASILIANO:
0767925000
0622925000(whatsapp)
Masha Masanja (Health Consultant)
posted from Bloggeroid

Friday, 30 October 2015

MAMBO 13 YA KUFANYA ILI UWEZE KUACHA TABIA YA KUPIGA PUNYETO

Huu ni mwendelezo wa makala zangu zenye lengo la kuwasaidia vijana wanaojihusisha au waliowahi kujihusisha na kitendo cha KUJICHUA au wengi huita PUNYETO.

Leo nakuletea mambo 13 ya muhimu kuyafanya unapoamua kuacha kujichua.

1=> ACHA KUANGALIA FILAMU AU VIDEO ZA NGONO. Hii imekuwa ni chanzo kikubwa cha vijana wengi kujikuta wakijizoeza kujichua kutokana na kuangalia sana video za ngono. Pia simu zilizopo sasa zimekuwa na uwezo mkubwa wa kutunza na kuonyesha video hizo. Hivyo kama unahitaji kuacha mchezo huu wa kujichua basi hakikisha unafuta kabisa hizo video ndani ya simu yako na ujitahidi kutozitafuta tena.

2=> Kama wewe ni mwanafunzi hakikisha unakuwa bize na masomo yako na uiondoe kabisa akili yako katika kuwaza ngono.

3=> Kila siku hakikisha unafanya mazoezi ya kuuchosha mwili. Kufanya hivi kutaufanya mwili uwe active tu na kuondoa mawazo ya kujichua.

4=> Epuka kukaa pekee yako, jichanganye na watu ili uwe katika mtazamo wa maongezi tu na hautawaza hicho kitendo tena.

5=> Acha tabia ya kulakula bila mpangilio hasa vyakula vyenye mafuta mengi.

6=> Muda wako wa free jitahidi kuutumia kukaa na familia au marafiki au pengine unaweza utumia kwa kufanya kazi zako ulizoshindwa kuzikamilisha siku za nyuma.

7=> Epuka kukaa bafuni kwa muda mrefu. Vijana wengi wamekuwa wakifanya kitendo hiki wakiwa bafuni wanapoenda kuoga. Hivyo Epuka kukaa bafuni muda mrefu.

8=> Epuka kabisa kusema eti "PUNYETO HII NI YA MWISHO" kisha ntaacha. Hii ni dhana potofu kabisa. Cha msingi ni kuacha na kufuata utaratibu kama somo hilo linavyoeleza.

9=> Jitahidi sana uepuke tabia au staili ya maisha iliyokuwa ikikufanya ujichue.

10=> Epuka kuwaangalia sana wadada wanaovaa nusu uchi, picha za uchi au kuingia kwenye mitandao ya ngono pamoja na kusoma hadithi zilizo na mapenzi ndani yake.

11. Ichukie tabia ya kujichua na uione kama ni dhambi kubwa na Mwenyezi Mungu hapendi.

12. Kuwa na mpenzi au mke mwaminifu na uhakikishe hisia zako zote umezielekezea kwake, pia hakikisha mnakuwa na ratiba nzuri ya kukutana endapo mnaishi mbali kila mtu.

13. MATIBABU. Tabia hii pamoja na kufanya hayo mambo 12 lakini unahitajika ukamilishe kwa kufanya Matibabu. Wakati ukifanya tabia hiyo kwa kawaida Misuli ya uume hudhoofika, nguvu za kiume hupungua au kuisha kabisa, uume huwa mdogo au hujivuta kurudi ndani na wengine hufikia hadi hatua ya kumaliza haraka sana wanapokutana na mwanamke, wapo pia ambao hujikuta wakitokwa shahawa bila kujijua!!!!

Hivyo basi, tiba pekee ni dawa za aina mbili:
1. Butea Superber - hivi ni vidonge vilivyotengenezwa kutokana na mimea hiyo ya Butea Superber. Huongeza uzalishwaji wa mbegu na kuimarisha misuli ya uume na hivyo kuwafanya wanandoa au wapenzi kufurahia mapenzi yao.
Dawa hii ina vidonge vinne tu na vinatumika kidonge kimoja tu kwa siku.

2. Uyoga wa Cordyceps au Biloba na Gonaderma - Hii ni mimea na uyoga yenye uwezo mkubwa sana wa kurejesha madini yaliyopotea mwilini pamoja kuongeza uwezo wa mwili kujikinga na maradhi, kuondoa uchovu usio na sababu na pia huondoa mafuta mabaya mwilini.
Zina vidonge 60 hadi 96 na zinatumika kwa kumeza vidonge viwili kwa siku.

Dawa hizi pamoja na kuwa ni mimea lakini zimetengenezwa katika mfumo wa vidonge hivyo ni rahisi sana kwa mtumiaji na havina kemikali yoyote ili kufanya zisiwe na madhara kwa mtumiaji.
Matibabu haya yote hufanyika ndani ya mwezi mmoja tu na gharama ya dawa zote mbili ni ya kawaida tu kulingana na ubora wa dawa ambazo hutengenezwa nchini Thailand.

Pamoja na kukupatia dawa lakini pia tutakupatia ushauri kuhusu chakula bora ambacho ni muhimu ili kuimarisha utendaji kazi hasa katika tendo la ndoa.

Dawa hizi unaweza kuzipata Mwanza, Shinyanga, Morogoro, Mbeya, Tanga na Dar.
Watu wa mikoa mingine huwa tunatuma dawa kupitia Ofisi za Mabasi.

MAWASILIANO:
0767925000
0622925000(Whatsapp)
Masha Masanja (Health Consultant).
posted from Bloggeroid

Wednesday, 28 October 2015

MPYA: ANGALIA MADHARA YA UPIGAJI PUNYETO/MASTURBATION NA TIBA YAKE



1. Uume kuwa dhaifu na kushindwa kusimama imara hasa unapokutana na mwanamke.
2. Misuli ya uume kusinyaa na kumaliza mapema wakati wa tendo la ndoa, pia mbegu au shahawa kuwa kidogo sana.
3. Kuwa hanithi na kushindwa kutungisha mimba.
4. Uume kujikunja na kurudi kwa ndani.
5. Msongo wa mawazo na kusahausahau.
6. Maumivu ya kiuno na mgongo
7. Magonjwa ya Presha, Moyo na kuharibika kwa Uti wa Mgongo.

HAYO YOTE TIBA YAKE TUNAIFANYA KWA MWEZI MMOJA HADI MIWILI.
Dawa zetu zimetengenezwa kwa mimea na ziko katika mfumo wa vidonge na hazina madhara kiafya. Dawa zinarudisha madini yaliyopotea mwilini, zinaongeza uzalishwaji wa mbegu za kiume na zinaimarisha misuli ya uume na kuufanya uume kuwa imara na kufurahia tendo la ndoa.
Pia tutakushauri kuhusu chakula(Lishe) ili uwe na Afya njema.

Tupo Shinyanga na Mwanza, pia mikoa mingine tunao wawakilishi.

Mawasiliano:
0767925000
0622925000{whatsapp}
posted from Bloggeroid

Monday, 26 October 2015

UFAHAMU UGONJWA WA KISUKARI KWA KIFUPI

KISUKARI ni moja ya magonjwa yanayoathiri watu wengi siku hizi nchini mwetu na hata nje.
Kati ya hao, wengi huishi na ugonjwa huo kwa muda mrefu na kuja kugundua kwamba wana kisukari baada ya muda wa kama miaka mitano hivi, baada ya mwili kuanza kuonesha dalili kuu za kisukari.

Ndani ya kipindi hicho cha miaka mitano, tayari mwili unakuwa umepoteza baadhi ya uwezo wake katika macho, figo, fizi na neva za fahamu.

Kisukari hakina dawa ya kutibu kabisa, bali vipo vichocheo (hormone) na dawa zinazosaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.


-Kiu Ya Maji Isiyoisha
Njaa Kali.

-Haja Ndogo Mara Kwa Mara.

-Vidonda Au Michubuko Kuchukua Muda Mrefu Kupona.

-Nyingine Ni Ngozi Kuwa Kavu Na Kuwasha.

-Mgonjwa Kupoteza Uzito Bila Sababu.

-Kuwa Na Ukungu Machoni,
Kuchoka Kusiko Kwa Kawaida.

-Hisia Kupungua Katika Vidole Na Viganja.

-Mikononi Na Miguuni Na Kuwa Na
Ukungu Katika Fizi.

-Ngozi Na Kibofu Cha Mkojo.
Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Uume KutokuSimama.

-Mwanamke Kujifungua Mtoto Mwenye Uzito Wa Zaidi Ya Kilo Nne Na Aliyekuwa Na Kisukari Cha Ujauzito Anaangukia Pia Kwenye Kundi Hilo, Sawa Na Wale Wanaokuwa Wamepata Ajali Na Kuumia Sehemu Za Tumboni Au Kula Chakula Chenye Sumu Ambacho Kinaweza Kuumiza Kongosho.


MADHARA YA KISUKARI

=>Magonjwa Ya Moyo,
Kiharusi.

=>Matatizo Na Kuharibika Kwa Kibofu Cha Mkojo.

=>Shinikizo La Juu La Damu
Upofu.

=>Kufa Neva Za Fahamu,
Uharibifu Katika Fizi Na Ugonjwa Wa Fangasi.

=>Mwanaume Kupoteza Kabisa Nguvu Za Kiume.

=>Mtu Anapokuwa Na Kisukari, Mzunguko Wa Damu Miguuni Hupungua Na Hii Ndiyo Sababu Kubwa Ya Kufa Kwa Neva Za Fahamu Na Hivyo Mtu Kukosa Hisia Katika Eneo Hilo La Mwili.

=>Kinga Ya Mwili Kushuka Kwa Kiasi Kikubwa Hivyo Kufanya Mgonjwa Kuugua Ugua Magonjwa Mengine Kila Mara.

MATIBABU

Kwa Kawaida Kwa Tiba Ya Hospitali Matibabu Ya Kisukari Hayana Mwisho Hivyo Mgonjwa Huwa Mtumiaji Wa Dawa Katika Maisha Yake Yote.

Tunayo Tiba Ya Moja Kwa Moja Ya Ugonjwa Huu Kwa Kutumia Vidonge Vilivyotengenezwa Kwa Uyoga Mwekundu Unaopatikana Nchini Pekee.
Uyoga Huu Una Uwezo Mkubwa Wa Kusawazisha Kiwango Cha Sukari Mwilini Pamoja Na Kuongeza Kinga Ya Mwili Kwa Kiwango Kikubwa Sana Hivyo Kuondoa Kabisa Hali Ya Kuugua Ugua Magonjwa Mbalimbali Kila Mara.
Tiba Hii Inashauriwa Kutumika Kwa Muda Japo Miezi Mitatu(3).

Tunapatikana Mwanza na Shinyanga, Pia Mikoa Mingine Tunao Wawakilishi Wetu.

MAWASILIANO
0767925000
0622925000(WHATSAPP)
posted from Bloggeroid

Saturday, 24 October 2015

FAHAMU NJIA SALAMA YA KUTIBU MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI ( DISMENORRHEA)




Haya ni maumivu yanayojitokeza sehemu ya chini ya tumbo au kiunoni wakati mwanamke anapoanza kupata siku zake au kabla ya hapo.

Maumivu hayo huweza kuwa madogo au ya wastani lakin baadhi ya Wanawake hupata maumivu makali zaidi . Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi huanza pale mayai yanapotoka ktk mirija na kutelemka chini ya mirija hiyo wakati wakati wa Ovulation au kipindi cha uwezekano wa kupata mimba.

Maumivu haya yapo ya aina mbili:

1. Primary Dismenorrhea.
Haya ni maumivu yasiyokuwa na sababu zozote za msingi kitiba. Ktk aina hii maumivu ni ya kawaida na huhisiwa sehemu ya chini ya tumbo na kiunoni na huanza siku 1 au 2 kabla ya hedhi na humalizika baada ya siku 2 au 4.

2. Secondary Dismenorrhea
Haya ni maumivu makali zaidi na yanakuwa na sababu maalum za kitiba km vile matatizo ktk kizazi, Ugonjwa wa Nyonga (P.I.D) na matatizo ktk mirija ya uzazi.

Karibu nusu ya Wasichana wote hupata maumivu wakati wa hedhi, huku 15% kati yao wanasema kuwa hupata maumivu makali sn.
Uchunguzi unaonyesha kuwa kuna sababu mbalimbali zinazoweza kuongeza uwezekano wa kuumwa tumbo wakati wa hedhi:
🚫 kuwa na umri chini ya miaka 20
🚫 kuvunja ungo wakati wa miaka 11 au chini ya hapo
🚫 kutoka damu nyingi wakati wa hedhi (suala hili linaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali ya kitiba)
🚫 Wanawake ambao hawajawahi kuzaa
🚫 Endometriosis - hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa kizazi huanza kuota nje ya fuko hilo au huota sehemu nyinginezo
🚫 Adenomyosis - huu ni ugonjwa wa wanawake ambapo tezi au uvimbe ( tumors) zinaota ktk mfuko wa uzazi
🚫 Magonjwa ya zinaa yanayotokana na bakteria au magonjwa ya zinaa ya kuambukiza
🚫 Mlango wa uzazi unapokuwa mdogo kiasi kwamba inazuia damu ya hedhi isitoke kwa urahisi.

SASA HEBU TUONE, TUMBO LA HEDHI HUUMAJE ( DALILI)

⚠ Maumivu mara nyingi si makali
⚠ Maumivu yanaweza kuja na kuondoka
⚠ Maumivu zaidi huhisiwa sehemu ya chini ya tumbo
⚠ Maumivu yanaweza kuchanganyikana na maumivu ya chini ya mgongo ambayo husambaa hadi mapajani
⚠ Kujihisi kutapika/kichefuchefu na wakati mwingine hata kutokwa jasho
⚠ Kupata choo kilaini au kuharisha
⚠ Kufunga choo
⚠ Tumbo kuwa kubwa au kuwa gumu
⚠ Kuhisi maumivu ya kichwa
⚠ Kutojihisi vizur au uchovu

Inapaswa kujua kuwa, kiwango cha maumivu hutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke au kutegemeana na dalili. Wanawake wengi huzitambua dalili hizo bila ht msaada wa Daktari.
Wanawake nawashauri mara mnapopata maumivu makali zaidi ni vyema mkamuone Daktari au Mshauri wa Afya ili ikiwezekana kufanya vipimo km vile Ultrasound, MRI na vinginevyo ili kufahamu iwapo kuna matatizo mengine ya kitiba yanayosababisha maumivu kuwa makali.

MATIBABU
Matibabu ya Maumivu ya tumbo la hedhi huweza kutibiwa kirahisi kwa kutumia Vidonge vya maumivu km Ibuprofen, Naproxen au aina nyinginezo za vidonge visivyokuwa na STEROIDS (NSAIDS). Pia kuna wakati Madaktari wanaweza kumshauri mgonjwa kutumia vidonge vya kuzuia mimba. Vidonge hivyo huzuia mzunguko wa yai au Ovulation na kupunguza ukali wa maumivu ya tumbo la hedhi.
Lakini pia ifahamike kuwa vidonge vyote hivyo havitibu tatizo hili moja kwa moja bali utatakiwa kuvitumia kila mwezi unapoingia hedhi.


Zipo tiba za moja kwa moja kwa kutumia vidonge vilivyotengenezwa kwa mimea na havina madhara mwilini km vidonge vya maumivu nilivyovitaja huko. Vidonge hivi vya mimea vinapatikana sehemu mbalimbali za Tanzania na tiba yake hufanyika kwa miezi miwili - mitatu na baada ya hapo mwanamke/msichana hautasikia tena maumivu ya hedhi maishani mwako.

Mawasiliano:
0767925000
0784925000
0622925000 (whatsapp)

posted from Bloggeroid

Monday, 19 October 2015

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA

WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.


~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika kama piles

~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

AINA ZA BAWASIRI

~Kuna Aina mbili za bawasiri

(A) BAWASIRI YA NDANI

~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili

~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne

(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika

(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.

(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe.

(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

(B)BAWASIRI YA NNJE

~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO

~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷

��KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

��KUHARISHA KWA MUDA MREFU

��TATIZO LA KUTOPATA CHOO

��MATATIZO YA UMRI

��KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU

��UZITO KUPITA KIASI

��MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

��Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa

��kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

��kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa

��kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo

��kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI

~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa na anion chip kubandika mahali penye tatizo na kuondoa tatizo Hilo

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia

��KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

��KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku

��EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU

MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI

��kupata upungufu wa damu (anemia)

��Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo

��hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake

��kuathirika kisaikolojia

��kukosa moral ya kufanya Kazi na maumivu makali
posted from Bloggeroid

JINSI YA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME NA KUONGEZA FURAHA YA NDOA

Katika tafiti za sasa zinaonesha kuwa tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni la kawaida maana tafiti zinaonesha kwamba ni asilimia 4 tu ya watu duniani wanafurahia tendo la ndoa ipasavyo wengine huishi kwa shida kabisa bila kushiriki tendo la ndoa ya kushiriki chini ya kiwango.
Mazingira magumu ya kazi, vyakula tunavyokula, hewa tunayo vuta, changamoto za kifamilia yote haya HUPELEKEA WATU KUKOSA SHAUKU YA TENDO LA NDOA, NA USIPO LIWAHI UNAWEZA KUPATA TATIZO LA MSONGO WA MAWAZO.

SASA JIPATIE BIDHAA AMBAYO IMETENGENEZWA KWA MIMEA ASILI AINA KUU TATU NA VIUMBE WA BAHARINI WAJULIKANAO KAMA PIPE FISH IKAWA DAWA MOJA ASILI YENYE VIDONGE 4 TU UTAFURAHIE RADHA YA NDOA YAKO BILA MADHARA.

1. SYNGNATHUS
Hawa ni samaki wajukikanao kama pipe fish kutokana na umbo lao refu hupatikana baharini na upatikanaji wake ni mgumu sana kwani huogelea ndani kwa ndani hivyo kufanya bidhaa hii iqw adimu sana.
Samaki hawa tafiti zinaonesha kuwa zinasafisha figo na kuimarisha kazi ya figo na kukupa uimara wa tendo la ndoa ambao ulikuwa umedhoofika kwa kudhoofika kwa figo.

Hivyo samaki hawa huvuliwa ,husafishwa,hukaushwa na kutengenezwa katika unga kisha huchanganywa na mimea mingine kutengeneza vidonge vya asili kabisa.

2. EPIMEDIUM

Hii ni mimea ambayo ina maajabu yake na imekuwa kama lulu nchini china na maajabu yake ni pale hata mifugo inapotumia mimea hio katika malisho imeonesha kuwa na shauku kubwa ya kufanya tendo la ndoa zizini.
Sasa mimea hii baada ya kuwekwa kwenye TAFITI MAAJABU YAKE YAMEFICHUKA KUWA NA FAIDA KUBWA SANA KATIKA MWILI WA BINADAMU KATIKA MAGONJWA HAYA.

~Inaongeza SHAUKU YA TENDO LA NDOA (LIBIDO)
~INAONGEZA MBEGU ZA KIUME (SPERMS) NA VICHOCHEO VYA KIUME YANI TESTOSTERONE
~INAONGEZA SHAUKU YA TENDO LA NDOA AMBALO UTAFURAHIA TENDO LA NDOA MUDA WOWOTE NA SEHEMU YOYOTE BILA HOFU KABISA.
~INAONGEZA UWEZO WAKO WA KUWEZA KURUDIA TENDO LA NDOA MARA NYINGI UWEZAVYO

MORINDA OFFICINALIS

Hii pia ni mimea asili ambayo imekuwa ni kipaumbele katika tafiti mbalimbali za mimea asili kwenye kutibu nguvu za kiume.
Mimea hii imeonyesha uimara wake kwenye kufanya jazi hizi

~Kutibu kabisa tatizo la kutopata mtoto
~kutibu kabisa matatizo ya uhanisi
~Kutoa mbegu za kiume nyingi kiwango cha kutosha kutungisha mimba.
~Kufika kilele HARAKA kabla ya mwenzi wako na kushindwa kuendelea (pre mature ejaculation)

4. BUTEA SUPERBA

Hii pia ni mimea asili ambayo hupatikana sana katika nchi za thailand na china pia india.
Mimea hii imeonyesha tafiti kuwa ina uwezo wa kuzuia PDE5 na kuongeza kiwango cha damu kinacho kimbia sehemu za siri na kukupa nguvu za kutosha kuendelea kufurahia tendo la ndoa. Kumbuka bidhaa hii inafanya yote haya bila kuathiri mfumo wa fahamu kama bidhaa zingine za kemikali zinavyoathiri wakati zinafanya kazi.

HIVYO MPENDWA MIMEA YOTE HIYO IMEHIFADHIWA KATIKA KIDONGE KIMOJA TU KATIKA TEKNOLOJIA YA KISASA.

DOSAGE: DOZI NI VIDONGE VINNE(4) TU.

MATUMIZI: UNAMEZA KIDONGE KIMOJA KILA SIKU (500mg) MASAA MATATU BAADA YA CHAKULA CHA USIKU.

MWANZA & SHINYANGA 0622925000 WHATSAPP

POPOTE ULIPO UTAPATIWA BIDHAA HII RAFIKI WASILIANA NASI KWA NAMBA HIZO

KARIBUNI SANA TUNAPATIKANA MWANZA - LIBERTY NA SHINYANGA.
posted from Bloggeroid

Saturday, 19 September 2015

UTAMBUE UYOGA WA MAAJABU DUNIANI UNAOTUMIKA KATIKA TIBA MBALIMBALI

Uyoga huo aina ya Cordyceps Militaris unaopatikana nchini China pekee Duniani umepewa jina la Uyoga wa maajabu kutokana na uwezo wake wa kutibu magonjwa mengi hasa mgonjwa anapoitumia tiba yake kwa muda wa kuanzia miezi mitatu.

Uyoga huu umaovunwa kutoka katika miti maalumu ambapo ndipo unapojiotesha, umekuwa msaada mkubwa kwa matumizi ya Binadamu hususani katika kutibu magonjwa mbalimbali sugu na yaliyoshindikana. Una uwezo mkubwa sana pia wa kumkinga Binadamu asipatwe na magonjwa mara kwa mara hasa wale wanaokuwa na ya kuugua magonjwa kila mara.

Uyoga huu sasa umetengenezwa katika mfumo wa vidonge ili kurahisisha upatikanaji wake ulimwenguni kote. Dozi moja au kopo moja la dawa hii lina vidonge 60 ambavyo mgonjwa atavitumia kwa muda wa mwezi mmoja.

Basi aina hii ya uyoga tafiti zinaonyesha ni dawa asili ambayo ina uwezo mkubwa sana wa kuangamiza bakteria kama Pneumococci wanaosababisha ugonjwa wa Nimonia au kifua cha kubana na kukohoa, pia bakteria aina ya Streptococcus wanaosababisha pia Nimonia na magonjwa ya ngozi.

Pia inatibu maambukizi ya virusi mbalimbali vinavyosababisha mafua na kuvimba kwa matezi, wadudu wanaosabisha matatizo ya ini kama Adenovirus, hepatitis virus aina zote, herpes na influenza virus ma kikohozi kikavu kwa watoto.

Kwa ujumla aina hii ya uyoga imekuwa ikitumiwa magonjwa yote ya kifua kama kifua kubana, kikohozi cha muda mrefu, mafua sugu, tonsilitis au tezi kuvimba kooni n.k.

Mbali na kutibu maambukizi ya bakteria tu pia ina uwezo mkubwa sana wa kuwashambulia na kuwaua vimelea kwenye damu wanaoshambulia mfumo wa mkojo mfano wakinababa ambao wana maumivu makali wakati wa kukojoa kutokana na maambukizi ya zinaa na pia wana maumivu ya kibofu cha mkojo na figo kwa ujumla, kiuno kukaza na kuuma.
Wakinamama wanaotoka na uchafu mwingi wenye harufu kali na kiuno kuuma sana upande mmoja ambapo ni kiashiria kuwa maambukizi yamefikia kwenye mirija ya uzazi, hii hutokea endapo umekuwa ukiweka dawa za  fangasi kwa muda mrefu bila mafanikio.

Pia akinababa wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume uyoga huu ni mkombozi kwao kwani una uwezo mkubwa wa kurudisha hisia za tendo la ndoa na pia kulimaliza kabisa tatizo endapo mhusika atafuata ushauri atakaopewa na mshauri anayemhudumia.


NB: INASHAURIWA KIAFYA KUTUMIA AINA HII YA UYOGA KAMA UNATAKA UGONJWA WAKO USIJE UKAWA SUGU NA UKASHINDWA KUUTIBU

Katika kuufanya uyoga huu uweze kupatikana kila mahali Duniani, wataalamu wameutengeneza katika mfumo wa vidonge hivyo kufanya iwe rahisi kuupata kila mmoja.

Unaweza kujipatia vidonge hivi hata kama siyo mgonjwa kwani kazi zake ni kama nilivyozitaja, vidonge hivi unaweza kuvipata kwa kuwasiliana nasi kwa namab 0767925000 au whatsapp 0622925000


Sunday, 6 September 2015

JINSI YA KUANZA BIASHARA YA MTANDAO



Biashara ya Mtandao ni aina ya biashara ya kisasa ambayo utendaji kazi wake hauhitaji mhusika kuwa na Frem au Duka na unamfanya kwa upande mwingine huyohuyo mhusika kuweza kuwa mwajiri lakini hahusiki katika kuwalipa Mshahara hao anaowaajiri.

Muda mfupi unaotumika kuifanya biashara hii humfanya mhusika kuweza kufanya kazi zake zingine huku Mtandao wake wa kibiashara ukizidi kukua.

JINSI YA KUANZA.
-Tafuta Kampuni yenye vigezo na mashariti rahisi.

-Pata mkufunzi mzuri na asiye na tamaa.

-Kubali kufundishwa na ukubali kuwa unahitaji kujua zaidi.

-Soma vitabu vinavyohusu biashara.

-Pata ushauri kutoka kwa mtu anayeifanya hiyo biashara, usithubutu kuomba ushauri kutoka kwa mtu asiyeifanya biashara hii maana haijui.

-Angalia kampuni ambayo haitakugeuza kuwa mtumwa wa bidhaa za gharama kubwa

-Jiunge na Kampuni ambayo ina wigo mpana na ina ofisi mikoa mingi. Hili litakusaidia kuwa na sana unapokuwa na shida ya kiofisi

Hayo ndiyo mambo ya msingi kuyafanya kabla hujaanza.

Kwa mengi zaidi wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 07622925000 tutakupa mafunzo bure na tutakupa mwongozo ili uende ofisini ukahudumiwe

MUNGU AWABARIKI.
posted from Bloggeroid

Saturday, 22 August 2015

KUUMWA MARA KWA MARA NI DALILI TOSHA KUWA KINGA YAKO YA MWILI IMESHUKA

Kinga ya mwili ndiyo kila kitu katika Afya ya binadamu. Kinga ya mwili ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali. Ukiwa na kinga imara ya mwili huwezi kuugua mara kwa mara.
Kuumwa mara kwa mara ni dalili tosha kabisa kuwa kinga ya mwili wako imeshuka na hivyo unatakiwa kuchukua hatua ili uweze kuiimarisha. Mungu aliumba mwili ukiwa na uwezo wake wa kujikinga na magonjwa yote ikiwa tu mwili utaupatia chakula chake kinachotakiwa kuimarisha kinga yake.
Hapo ndipo tunapotakiwa kujua ni aina gani ya vyakula huimarisha kinga ya mwili na pia ni vyakula gani hupunguza kinga ya mwili. KUMBUKA KINGA NI BORA KULIKO TIBA, hivyo usisubiri upate matatizo ndipo uanze kutafuta suluhisho kwani ukingoja upate matatizo utakuja kutumia gharama kubwa zaidi ambayo hukuitarajia.
EPUKA VITU HIVI
-ULAJI WA SUKARI. Kwa kawaida kiwango cha sukari kinachotakiwa kutumiwa ni kijiko kimoja tu cha chai. Inapozidi hapo tu kinachangia kuharibu mfumo mzima wa kinga ya mwili. Niliwahi kuongelea soda kuwa katika chupa moja ya soda huwa kuna vijiko sita (6) vya sukari. NI HATARI SANA
-EPUKA UNYWAJI WA KAHAWA
Kirutubisho kiitwacho CAFFEINE kilichomo kwenye kahawa kinaweza kuondoa virutubisho muhimu mwilini kama Calcium, Magnesium na Potassium. Kahawa pia huweza kuathiri mfumo wetu wa fahamu na kusababisha wasiwasi na ukosefu wa usingizi. Tukumbuke kuwa usingizi ni muhimu sana kwa ubongo na ni tiba ya magonjwa mbalimbali kwa njia ya asili (natural healing)
-USINYWE KILEVI
Unywaji wa pombe kupita kiasi ni sumu kwa miili yetu. Kitu cha kwanza kuathirika na ulevi kupita kiasi ni INI, halikadhalika mfumo wa fahamu nao huathirika. Hali hiyo pia hudhoofisha uzalishaji wa seli za damu (blood cells)
-EPUKA VYAKULA VIBICHI
Hakikisha unaosha vizuri matunda kabla ya kuyala. Kuna bakteria wa kila aina kwenye vyakula vibichi yakiwemo matunda. Hivyo kuosha matunda kwa umakini ni muhimu sana. Pia ulaji wa mayai mabichi au yaliyochemshwa na kuiva kwa kiasi huweza kuwa na bakteria. Hivyo kinga ya mwili hudhoofika na wale wenye kinga dhaifu wanaweza kupatwa na magonjwa ya mlipuko.
-EPUKA CHIPSI, VYAKULA VYA KUKAANGA NA KUOKA.
Vyakula vya kukaanga kama vile chipsi na vinginevyo pamoja na vyakula vya kuoka huwa huwa na mafuta mabaya (CHOLESTEROLS) ambayo huwa na tabia ya kutengeneza magonjwa mwilini (FREE RADICALS) na huathiri mfumo wa kinga ya mwili pamoja na chembechembe za nasana (DNA). Vyakula hivyo ni vya kuliwa kwa nadra sana siyo kila siku na kikubwa ni kuviepuka tu. Vyakula vingine vya kuepukwa ni VYAKULA VYA KWENYE MAKOPO VINAVYOTENGENEZWA VIWANDANI, NAFAKA ZILIZOKOBOLEWA.
KULA KWA WINGI
-Vyakula vya asili mfano nafaka zisizokobolewa
-Mbogamboga
-Matunda yasiyo na kiwango kikubwa cha sukari
-Viungo kama vitunguu maji, vitunguu saumu, tangawizi, uyoga n.k. hivi viungo husaidiana sana kuimarisha kinga ya mwili.
-kunywa maji ya uvuguvugu kila siku
-pata muda wa kulala
Kama tayari unasumbuliwa na tatizo la kuumwa mara kwa mara yaani kinga ya mwili wako imeshuka, wasiliana nasi tutakupatia vidonge vilivyotengenezwa kwa uyoga mwekundu ambao hupandisha sana kinga ya mwili. Vidonge hivi pia ni vizuri sana kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi kwani huwasaidia wasipatwe na magonjwa nyemelezi.
MAWASILIANO YETU NI 0767925000 AU WHATSAPP 0622925000

Friday, 21 August 2015

HIZI HAPA NDIYO SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA WANAUME WENGI

Habari za leo mpenzi msomaji wa makala zangu, leo napenda niongelee hili janga la wanaume wengi kuwa wahanga wa tatizo la upungufu au kuishiwa nguvu za kiume kabisa. Tatizo hili ni pana sana ila ntalizungumzia kwa kifupi tu hasa sababu zinazosababisha tatizo hili.
Kwa kufuata ukweli, hakuna mwanaume anayekubali kuwa na tatizo hili, kila mmoja anapohisi ametumbukia katika tatizo hili hujaribu kwa haraka kutafuta suluhu ya tatizo lake. Wengi huamua kununua madawa wanayoyajua wao kuwa yanaweza kuwasaidia lakini wengi wao hujikuta wakishindwa kupata tiba ya kudumu kwani huwalazimu kila wanapohitaji kushiriki tendo huenda kununua dawa au kolezo ili waweze kupata angalau mzuka wa kushiriki. Hii ni Kazi ngumu sana kwani kadri unapoendelea kutumia hizo kolezo ndivyo unavyozidi kujimaliza. Unatakiwa utafute suluhisho la tatizo hata kama gharama ni kubwa lakini tatizo liishe. La sivyo kwa watu wenye ndoa familia au ndoa zao huwa mashakani au unaweza kumfanya mkeo atoke nje ya ndoa (KUCHEPUKA) ili apate tu kutimiza haja zake za kimwili.

Zifuatazo ni baadhi ya sababu za tatizo hilo kwa wanaume wengi:
1. Kujichua au kupiga punyeto kwa muda mrefu. Hii wanaifanya sana vijana wengi na hata watu wazima. Unakuta kijana haipiti siku bila kuifanya hii kitu. Matokeo yake misuli ya uume hudhoofika na kufanya wasiweze kusimamisha vizuri hasa wanapokuwa na wapenzi wao kwani wamezoea kufanya kwa mkono (punyeto) hivyo wanapokutana na sehemu laini za mwanamke wanashindwa.

2. Mitindo ya maisha
Wanaume wengi kwa sasa wameshaingia katika mitindo ya ulaji mbovu wa vyakula.Vyakula vyenye mafuta mengi au ulaji wa chipsi na nyama choma kila siku. Hivi vyakula hudhoofisha mzunguko wa damu na kufanya damu kushindwa kuzunguka vizuri hasa kwenye uume. Hapa ndipo tatizo la wengi linapoanzia. Mwanaume ambaye hakupata tatizo hili kutokana na kujichua basi atalipata kwenye chakula. Pia unywaji wa pombe, soda na juisi za viwandani, vyakula vilivyokobolewa kama sembe, uvutaji wa sigara n.k

3. Msongo wa mawazo/Kisaikolojia
Kuna wanaume wanaoweza kusababishiwa tatizo hili na wapenzi wao. Mfano mpenzi wako anakwambia "yaani siku hizi sijui umekuwaje tu, yaani huwezi kazi kabisa". Hapa mwanaume kwa hakika ni lazima uchanganyikiwe na utaliweka kichwani na kuwa tatizo. Mengine ni kusikia maneno ya watu wakiongelea ufanyaji wa ngono kwa kiwango cha juu zaidi na wewe kujiona huwezi.

4. Maumivu ya kiuno kwa muda mrefu. Hili linaweza kuwakuta hasa watu wanaofanya kazi wakiwa wamekaa kwa muda mrefu. Madereva wa magari wanaoendesha kwa umbali mrefu na wanaofanya kazi maofisini wapo hatarini. Utakuta mtu yupo ofisini amekaa tangu asubuhi hadi muda wa kutoka kazini. Hata chai na chakula cha mchana anaagiza aletewe ofisini. HII NI HATARI SANA

5. Kuwa na magonjwa ya Kisukari na Shinikizo la damu, ulemavu wa kupata ajali navyo pia huchangia tatizo hili. Matatizo ya Unene/uzito, matatizo ya tezi dume, figo, ini pia ni vyanzo vingine vya tatizo hili.

Hivyo unapotafuta suluhisho la tatizo lako ni vyema ukajua chanzo chake ili utibiwe kwa kutatua chanzo na upate tiba ya moja kwa moja. Nimefanya hivi ili kuwasaidia wengi mjitambue ili hata unapopata tiba tatizo lako lisijirudie tena.

Tiba ya tatizo hili tunayo na utamaliza dozi ndani ya mwezi mmoja hadi miwili kutegemeana na ukubwa wa tatizo lako.
Mawasiliano yetu ni 0767925000 au whatsapp 0622925000. TUPO MWANZA NA SHINYANGA. MIKOA MINGINE TUNAO MAWAKALA PIA

Sunday, 16 August 2015

UGONJWA WA PRESHA (BLOOD PRESSURE)


Huu ni ugonjwa ambao kwa sasa ni kama janga la jamii yote kwani imekuwa tofauti na ilivyokuwa imezoeleka kipindi cha nyuma. Miaka ya nyuma ilizoeleka kuwa ugonjwa huu ni kwa ajili ya watu wanene, wazee au matajiri tu, jambo hilo kwa sasa ni tofauti kabisa kwani watoto, maskini na hata watu wembamaba wanaupata tu.

PRESHA ni hali inayotokea endapo MOYO UNASUKUMA DAMU KWA HALI AMBAYO SIYO YA KAWAIDA. Kwa kawaida Presha ndiyo inayosaidia katika kusukuma damu, lakini Presha hiyo inapokuwa juu au chini zaidi ya kawaida huleta matatizo makubwa kiafya. Watu wazima zaidi ya miaka 18 presha ya diastole inatakiwa kuwa kipimo cha juu cha 120mmHg na Presha ya diastole ambacho ni kipimo cha chini inatakiwa iwe 80mmHg. Hapa ndipo tunaposema Presha inatakiwa kuwa 120/80mmHg.

Ugonjwa huu unaweza kumpata mtu yeyote mkubwa au mtoto kulingana na maisha tunayoishi. Presha huathiri vitu vingi mfano idadi ya maji mwilini, idadi ya chumvi, homoni mwilini, hali ya joto au baridi, hali ya hisia au figo, mfumo wa neva na mishipa ya damu.

Kama Presha itakuwa juu na kuachwa kutodhibitiwa, moyo na mishipa haitofanya kazi vizuri kama ipasavyo. Kwa sababu neva na seli za mwili tayari zinakuwa zimeshaathiriwa na presha.
HAPO NDIPO MTU ANAPOTUMIA DAWA ZENYE KEMIKALI INAKUWA NGUMU SANA KUPONA TATIZO HILO. Lakini usijali kama utafuata maelekezo nitakayokupatia ndani ya makala hii ya Presha.

Kwa kawaida tunautofautisha huu ugonjwa katika makundi makuu mawili:
1. Presha ya juu (high blood pressure au Hypertension)
2. Presha ya chini/kushuka (low blood pressure au Hypotension)

VISABABISHI VYA PRESHA KUWA JUU
-Chumvi nyingi
-Unene uliozidi
-Umri mkubwa au uzee
-Figo ikiwa haifanyi kazi
-Historia ya ugonjwa wa Presha katika familia
-Ugonjwa wa kisukari

DALILI ZA MTU MWENYE UGONJWA WA PRESHA
Mara nyingi Presha huwa haina dalili hadi ilete madhara na hivyo imefanya kuitwa "SILENT KILLER" yaani muuaji wa kimyakimya.
Hizi ni baadhi ya dalili:
-Kichwa kuuma
-Kizunguzungu
-Pumzi kubana
-Kutokuona vizuri
-Kichefuchefu

VITU VINAVYOCHANGIA HALI YA MGONJWA WA PRESHA KUWA MBAYA ZAIDI
-Kula chumvi nyingi
-Unene uliozidi
-Kutofanya mazoezi mara kwa mara
-Kunywa pombe nyingi
-Uvutaji wa sigara

TIBA YA UGONJWA WA PRESHA
Mojawapo ya tiba za ugonjwa huu wa Presha ni kuepukana na vitu nilivyovitaja hapo juu vinavyochangia hali ya mgonjwa wa Presha kuwa mbaya yaani kuacha kula vyakula vyenye chumvi au unaweza kuweka kidogo sana, kufanya mazoezi ya angalau nusu saa kwa siku kwa wiki hata mara tatu, epuka vyakula vyenye mafuta mengi na lehemu (cholesterols) maana huwa vinaganda kwenye mishipa ya damu na kusababisha presha, kula zaidi mboga za majani na matunda.
Daktari anapobaini kuwa presha yako yako iko juu kulingana na aina na kiwango cha presha atakushauri kuhusiana na vyakula na jinsi ya kubadili mwenendo wa maisha au atakuanzishia dawa mara moja. Kwa dawa za Hospitali au za kemikali ni muhimu kujua kuwa mara utakapoanzishiwa dawa ujue hautaacha kutumia dawa maisha yako yote la sivyo tatizo litarudi kama mwanzo.

Tunazo dawa zilizotengenezwa kwa mimea katika mfumo wa vidonge ambazo hazina kemikali kabisa na zinatibu kabisa tatizo kwa kuzitumia kwa muda wa miezi mitatu tu.
Wasiliana nasi kwa namba 0767925000 au whatsapp 0622925000. Tunatoa huduma popote Tanzania


TATIZO LA NGOZI (ECZEMA)



ECZEMA au pumu ya ngozi au kwa kitaalamu huitwa atopic dermatitis ni tatizo la ngozi litokanalo na mzio au allergy ya ngozi na reactions za mazingira yanayomzunguka mtu au baadhi ya familia zenye historia ya ugonjwa wa Pumu/Asthma.

Neno Eczema ambalo ndiyo jina la ugonjwa huu ni la Kigiriki linamaanisha kututumka sehemu ya ngozi, hali amabayo huonekana pindi mgonjwa anapopata maradhi haya. Maradhi haya ya ngozi yanachangia asilimia arobaini (40%) ya magonjwa yote ya ngozi yanayoripotiwa Hospitalini.


Maradhi haya hushambulia zaidi watoto na huweza kupitiliza hadi ukubwani, lakini watu wengi huweza kupona au kupungua kadri mtoto anavyozidi kukua. Watafiti wanasema kuwa kumekuwa na ongezeko la maradhi haya katika kipindi cha miaka ya usoni hali inayoashiria kuwa maradhi haya ni ya kurithi (atopic eczema).


Maradhi haya huweza pia kujitokeza ukubwani ingawa ni mara chache Maradhi haya huathiri watu wa jinsia zote kwa uwiano sawa yaani wanaume na wanawake.


DALILI ZA TATIZO
Maradhi haya ni ya muda mrefu, kwa hiyo mtu huweza kukaa nayo kwa muda mrefu ingawa siyo muda wote ngozi itaonyesha dalili za maradhi. Zifuatazo ni baadhi ya dalili za ugonjwa huu:
-Muwasho wa ngozi usio wa kawaida na kupelekea ngozi kupata vipele kisha kuwa kavu na ngumu
-Kuvimba kwa ngozi 
-Sehemu ya ngozi iliyoathirika huwa inatutumka
-Ngozi huwa inakuwa na mipasuko inayoweza kuruhusu vimelea vya maradhi kushambulia sehemu ya ndani ya ngozi
-Maeneo ya ngozi yaliyoathirika huweza pia kuwa na malengelenge na hata kutoa maji
-Bila matibabu ya haraka ngozi inaweza fanya vidonda
-Ingawa maeneo yenye kuathirika huweza kutokea sehemu yoyote ya mwili lakini pumu ya ngozi hupenda kushambulia sehemu za mikono hususani eneo baada ya kiwiko kwenda chini, miguu, viganja vya mikono, eneo la nyuma ya magoti (mkunjo wa mguu kwenye eneo la goti), maungio ya mkono kwenye kiwiko, shingo, sehemu ya juu ya kifua, wagonjwa wengune hupata maambukizi kwenye maeneo yanayozunguka macho, watoto wengi hupata pumu ya ngozi kwenye uso.

Kwa wenye pumu ya ngozi mbaya kabisa sehemu kubwa zaidi ya mwili hututumka na vidonda pamoja na kutokwa na majimaji kwenye maeneo yenye vidonda. Wakati maradhi haya yanapoanza hunyesha dalili za muwasho ambao husababisha mgonjwa kujikuna  na kumsababishia mikwaruzo kwenye ngozi ambayo nayo husababisha vimelea  vya maradhi kuweza kupenya na kusababisha vidonda vikubwa zaidi kutokea kwenye eneo la ngozi. Vidonda vinapotokea hasa kwa mtoto huweza kumsababishia msongo wa mawazo, kama hali hii ikimtokea kwa mtoto wa shule basi hata mahudhurio yake shuleni yatakuwa mabovu au hata kufeli mitihani.


SABABU ZA MASHAMBULIZI ZAIDI
-Kuogea maji ya moto kwa mrefu
-Kuruhusu ngozi ya mwili kukaa ikiwa kavu kwa mrefu (bila kupaka mafuta)
-Kuwa na msongo wa mawazo
-Kubadili joto la mwili yaani kusafiri kutoka  kwenye eneo la joto kwenda eneo lenye baridi au kinyume chake
-Kuvaa mavazi yasiyo ya pamba (cotton)
-Uvutaji wa sigara
-Kukaa kwenye vumbi
-Kukaa kwenye mchanga
-Matumizi ya mafuta ya mwili yanayosababisha mzio wa mwili
-Matumizi ya sabuni zinazosababisha mzio wa mwili
-Ulaji wa chakula kinachosabisha mzio wa mwili, mfano wale wenye mzio wa vyakula vinavyopatikana kwenye maji au baharini.

SABABU ZA PUMU YA NGOZI
Wataalamu wanasema kwamba maradhi haya mtu huzaliwa nayo na kuwa huwa yanarithiwa. Athari za maradhi haya huzidi kutokana na sababu nyingine za ndani au nje ya mwili.
Vitu kama manyoya ya wanyama au mbegu za mimea huweza kusababisha mzio ambao huweza kuleta madhara makubwa  zaidi kutokea kwenye ngozi.

Mtu mwenye dalili au tatizo hili ni vyema awahi kuanza matibabu au anaweza kuwasiliana na sisi kwa namba 0767925000 au whatsapp 0622925000 tutampatia dawa za vidonge atakazozitumia kwa miezi mitatu na tatizo hilo litaisha. Dawa hizi huanza kwa kuondoa chanzo cha tatizo na kuiacha ngozi yako ibaki kuwa nzuri.

Saturday, 15 August 2015

SABABU ZINAZOSABABISHA MWANAMKE ASIPATE MIMBA



Zipo sifa ambazo mwanamke au mwanaume anatakiwa kuwa nazo ili aweze kushika au kumpatia ujauzito mwenzi wake. Kuna wanaume ambao wamekuwa wakiishi maisha ya kutafuta watoto kwa kuwa na uhusiano na wanawake lukuki ndani ya muda mfupi pasipo kutambua kuwa hata wao wana uwezekano mkubwa tu wa kuwa na tatizo la kutozalisha au kutungisha mimba, Wanaume wengi huamini kuwa wanapokuwa na uwezo wa kufanya ngono ndio kigezo cha wao kuweza kuzalisha. DHANA HIYO SIYO KWELI.

Leo tutaziona baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha mwanamke ashindwe kubeba ujauzito. Kwa kawaida mwanamke ili aweze kushika mimba ni lazima aweze kuonekana au kuwa na sifa kama za mwanamke na pia mwanaume ili aweze kumpa mwanamke ujauzito ni lazima awe na sifa kama mwanaume. Hivyo katika sula hili la kutafuta mtoto ni lazima mwanamke na mwanaume washirikiane kwani mwanaume unaweza kujiona kuwa uko fiti kumbe ukija kupima mbegu zako utajikuta una tatizo kubwa.

MATATIZO KWA MWANAMKE
Mwanamke mwenye matatizo ya kutopata ujauzito anaweza kuwa na mojawapo ya matatizo yafuatayo:
1. Atakuwa amekaa na mwanaume au ameishi katika mahusiano ya kimapenzi na mwanaume kwa zaidi ya mwaka mzima lakini hakuna mafanikio.
2. Hulalamika maumivu ya chini ya tumbo mara kwa mara.
3. Maumivu ya hedhi.
4. Kuvurugika mzunguko wa hedhi.
5. Kutoona ute wa uzazi
6. Kukosa hamu ya tendo la ndoa na kusikia maumivu wakati wa tendo la ndoa
7. Kuwa na historia ya kutumia njia za uzazi wa mpango au kuharibika/kutoa mimba.
USHAURI: Endapo una muda wa zaidi ya mwaka hujapata ujauzito na unapata baadhi ya dalili nilizozitaja hapo juu, ni vyema uonane na daktari wa magonjwa ya uzazi ambaye hupatikana katika kila Hospitali za Mikoa, Hapo utafanyiwa uchunguzi zaidi hasa katika vichocheo au homoni za uzazi, vipimo vya mirija ya uzazi na vingine ambavyo daktari atakushauri. Uchunguzi huu mara nyingi huchukua muda mrefu hivyo ni vyema kuwa mvumilivu kwani mara nyingine mvurugiko wa homoni, matatizo ndani ya kizazi yanaweza kuwa yamesababishwa na uvimbe au maambukizi.

MATATIZO YA UZAZI KWA MWANAUME
Uchunguzi kwa mwanaume ni kuangalia mbegu za uzazi na kupima korodani, Mwanaume unaweza kujifahamu kama una tatizo endapo utakuwa na dalili zifuatazo:
1. Kuishi na mwanamke au mpenzi kwa zaidi ya mwaka lakini hakuna mimba kwa mwanamke
2. Upungufu wa nguvu za kiume
3. Kutoa manii au shahawa nyepesi sana na zenye harufu mbaya.
4. Maumivu ya muda mrefu ya korodani
5. Maumivu ya kiuno kwa muda mrefu
6. Maambukizi katika njia ya mkojo mara kwa mara
7. Uvutaji wa sigara kwa muda mrefu
8. Unywaji wa pombe kali, matumizi ya dawa za kulevya mfano bangi na mirungi.
USHAURI: Matatizo haya pia hutibika kwa kumuona daktari wa magonjwa ya uzazi. Vipimo vya mbegu na korodani hufanyika. Vipimo vingine hutegemea uwepo wa matatizo mengine kama kuwahi kumaliza tendo la ndoa, upungufu wa nguvu za kiume, uchovu mkali baada ya tendo la ndoa na maumivu katika njia ya mkojo.

Ni vyema kuwahi Hospitali mapema mara tu unapojigundua kuwa una baadhi ya hizo dalili.

Kwa ushauri na tiba za magonjwa yote hususani ya uzazi tafadhali waweza wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 0622925000, tunazo dawa zinazotibu matatizo yote hayo, zimetengenezwa kwa mimea na matunda na ziko katika mfumo wa vidonge.