Saturday, 22 August 2015

KUUMWA MARA KWA MARA NI DALILI TOSHA KUWA KINGA YAKO YA MWILI IMESHUKA

Kinga ya mwili ndiyo kila kitu katika Afya ya binadamu. Kinga ya mwili ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali. Ukiwa na kinga imara ya mwili huwezi kuugua mara kwa mara.
Kuumwa mara kwa mara ni dalili tosha kabisa kuwa kinga ya mwili wako imeshuka na hivyo unatakiwa kuchukua hatua ili uweze kuiimarisha. Mungu aliumba mwili ukiwa na uwezo wake wa kujikinga na magonjwa yote ikiwa tu mwili utaupatia chakula chake kinachotakiwa kuimarisha kinga yake.
Hapo ndipo tunapotakiwa kujua ni aina gani ya vyakula huimarisha kinga ya mwili na pia ni vyakula gani hupunguza kinga ya mwili. KUMBUKA KINGA NI BORA KULIKO TIBA, hivyo usisubiri upate matatizo ndipo uanze kutafuta suluhisho kwani ukingoja upate matatizo utakuja kutumia gharama kubwa zaidi ambayo hukuitarajia.
EPUKA VITU HIVI
-ULAJI WA SUKARI. Kwa kawaida kiwango cha sukari kinachotakiwa kutumiwa ni kijiko kimoja tu cha chai. Inapozidi hapo tu kinachangia kuharibu mfumo mzima wa kinga ya mwili. Niliwahi kuongelea soda kuwa katika chupa moja ya soda huwa kuna vijiko sita (6) vya sukari. NI HATARI SANA
-EPUKA UNYWAJI WA KAHAWA
Kirutubisho kiitwacho CAFFEINE kilichomo kwenye kahawa kinaweza kuondoa virutubisho muhimu mwilini kama Calcium, Magnesium na Potassium. Kahawa pia huweza kuathiri mfumo wetu wa fahamu na kusababisha wasiwasi na ukosefu wa usingizi. Tukumbuke kuwa usingizi ni muhimu sana kwa ubongo na ni tiba ya magonjwa mbalimbali kwa njia ya asili (natural healing)
-USINYWE KILEVI
Unywaji wa pombe kupita kiasi ni sumu kwa miili yetu. Kitu cha kwanza kuathirika na ulevi kupita kiasi ni INI, halikadhalika mfumo wa fahamu nao huathirika. Hali hiyo pia hudhoofisha uzalishaji wa seli za damu (blood cells)
-EPUKA VYAKULA VIBICHI
Hakikisha unaosha vizuri matunda kabla ya kuyala. Kuna bakteria wa kila aina kwenye vyakula vibichi yakiwemo matunda. Hivyo kuosha matunda kwa umakini ni muhimu sana. Pia ulaji wa mayai mabichi au yaliyochemshwa na kuiva kwa kiasi huweza kuwa na bakteria. Hivyo kinga ya mwili hudhoofika na wale wenye kinga dhaifu wanaweza kupatwa na magonjwa ya mlipuko.
-EPUKA CHIPSI, VYAKULA VYA KUKAANGA NA KUOKA.
Vyakula vya kukaanga kama vile chipsi na vinginevyo pamoja na vyakula vya kuoka huwa huwa na mafuta mabaya (CHOLESTEROLS) ambayo huwa na tabia ya kutengeneza magonjwa mwilini (FREE RADICALS) na huathiri mfumo wa kinga ya mwili pamoja na chembechembe za nasana (DNA). Vyakula hivyo ni vya kuliwa kwa nadra sana siyo kila siku na kikubwa ni kuviepuka tu. Vyakula vingine vya kuepukwa ni VYAKULA VYA KWENYE MAKOPO VINAVYOTENGENEZWA VIWANDANI, NAFAKA ZILIZOKOBOLEWA.
KULA KWA WINGI
-Vyakula vya asili mfano nafaka zisizokobolewa
-Mbogamboga
-Matunda yasiyo na kiwango kikubwa cha sukari
-Viungo kama vitunguu maji, vitunguu saumu, tangawizi, uyoga n.k. hivi viungo husaidiana sana kuimarisha kinga ya mwili.
-kunywa maji ya uvuguvugu kila siku
-pata muda wa kulala
Kama tayari unasumbuliwa na tatizo la kuumwa mara kwa mara yaani kinga ya mwili wako imeshuka, wasiliana nasi tutakupatia vidonge vilivyotengenezwa kwa uyoga mwekundu ambao hupandisha sana kinga ya mwili. Vidonge hivi pia ni vizuri sana kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi kwani huwasaidia wasipatwe na magonjwa nyemelezi.
MAWASILIANO YETU NI 0767925000 AU WHATSAPP 0622925000

Friday, 21 August 2015

HIZI HAPA NDIYO SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA WANAUME WENGI

Habari za leo mpenzi msomaji wa makala zangu, leo napenda niongelee hili janga la wanaume wengi kuwa wahanga wa tatizo la upungufu au kuishiwa nguvu za kiume kabisa. Tatizo hili ni pana sana ila ntalizungumzia kwa kifupi tu hasa sababu zinazosababisha tatizo hili.
Kwa kufuata ukweli, hakuna mwanaume anayekubali kuwa na tatizo hili, kila mmoja anapohisi ametumbukia katika tatizo hili hujaribu kwa haraka kutafuta suluhu ya tatizo lake. Wengi huamua kununua madawa wanayoyajua wao kuwa yanaweza kuwasaidia lakini wengi wao hujikuta wakishindwa kupata tiba ya kudumu kwani huwalazimu kila wanapohitaji kushiriki tendo huenda kununua dawa au kolezo ili waweze kupata angalau mzuka wa kushiriki. Hii ni Kazi ngumu sana kwani kadri unapoendelea kutumia hizo kolezo ndivyo unavyozidi kujimaliza. Unatakiwa utafute suluhisho la tatizo hata kama gharama ni kubwa lakini tatizo liishe. La sivyo kwa watu wenye ndoa familia au ndoa zao huwa mashakani au unaweza kumfanya mkeo atoke nje ya ndoa (KUCHEPUKA) ili apate tu kutimiza haja zake za kimwili.

Zifuatazo ni baadhi ya sababu za tatizo hilo kwa wanaume wengi:
1. Kujichua au kupiga punyeto kwa muda mrefu. Hii wanaifanya sana vijana wengi na hata watu wazima. Unakuta kijana haipiti siku bila kuifanya hii kitu. Matokeo yake misuli ya uume hudhoofika na kufanya wasiweze kusimamisha vizuri hasa wanapokuwa na wapenzi wao kwani wamezoea kufanya kwa mkono (punyeto) hivyo wanapokutana na sehemu laini za mwanamke wanashindwa.

2. Mitindo ya maisha
Wanaume wengi kwa sasa wameshaingia katika mitindo ya ulaji mbovu wa vyakula.Vyakula vyenye mafuta mengi au ulaji wa chipsi na nyama choma kila siku. Hivi vyakula hudhoofisha mzunguko wa damu na kufanya damu kushindwa kuzunguka vizuri hasa kwenye uume. Hapa ndipo tatizo la wengi linapoanzia. Mwanaume ambaye hakupata tatizo hili kutokana na kujichua basi atalipata kwenye chakula. Pia unywaji wa pombe, soda na juisi za viwandani, vyakula vilivyokobolewa kama sembe, uvutaji wa sigara n.k

3. Msongo wa mawazo/Kisaikolojia
Kuna wanaume wanaoweza kusababishiwa tatizo hili na wapenzi wao. Mfano mpenzi wako anakwambia "yaani siku hizi sijui umekuwaje tu, yaani huwezi kazi kabisa". Hapa mwanaume kwa hakika ni lazima uchanganyikiwe na utaliweka kichwani na kuwa tatizo. Mengine ni kusikia maneno ya watu wakiongelea ufanyaji wa ngono kwa kiwango cha juu zaidi na wewe kujiona huwezi.

4. Maumivu ya kiuno kwa muda mrefu. Hili linaweza kuwakuta hasa watu wanaofanya kazi wakiwa wamekaa kwa muda mrefu. Madereva wa magari wanaoendesha kwa umbali mrefu na wanaofanya kazi maofisini wapo hatarini. Utakuta mtu yupo ofisini amekaa tangu asubuhi hadi muda wa kutoka kazini. Hata chai na chakula cha mchana anaagiza aletewe ofisini. HII NI HATARI SANA

5. Kuwa na magonjwa ya Kisukari na Shinikizo la damu, ulemavu wa kupata ajali navyo pia huchangia tatizo hili. Matatizo ya Unene/uzito, matatizo ya tezi dume, figo, ini pia ni vyanzo vingine vya tatizo hili.

Hivyo unapotafuta suluhisho la tatizo lako ni vyema ukajua chanzo chake ili utibiwe kwa kutatua chanzo na upate tiba ya moja kwa moja. Nimefanya hivi ili kuwasaidia wengi mjitambue ili hata unapopata tiba tatizo lako lisijirudie tena.

Tiba ya tatizo hili tunayo na utamaliza dozi ndani ya mwezi mmoja hadi miwili kutegemeana na ukubwa wa tatizo lako.
Mawasiliano yetu ni 0767925000 au whatsapp 0622925000. TUPO MWANZA NA SHINYANGA. MIKOA MINGINE TUNAO MAWAKALA PIA

Sunday, 16 August 2015

UGONJWA WA PRESHA (BLOOD PRESSURE)


Huu ni ugonjwa ambao kwa sasa ni kama janga la jamii yote kwani imekuwa tofauti na ilivyokuwa imezoeleka kipindi cha nyuma. Miaka ya nyuma ilizoeleka kuwa ugonjwa huu ni kwa ajili ya watu wanene, wazee au matajiri tu, jambo hilo kwa sasa ni tofauti kabisa kwani watoto, maskini na hata watu wembamaba wanaupata tu.

PRESHA ni hali inayotokea endapo MOYO UNASUKUMA DAMU KWA HALI AMBAYO SIYO YA KAWAIDA. Kwa kawaida Presha ndiyo inayosaidia katika kusukuma damu, lakini Presha hiyo inapokuwa juu au chini zaidi ya kawaida huleta matatizo makubwa kiafya. Watu wazima zaidi ya miaka 18 presha ya diastole inatakiwa kuwa kipimo cha juu cha 120mmHg na Presha ya diastole ambacho ni kipimo cha chini inatakiwa iwe 80mmHg. Hapa ndipo tunaposema Presha inatakiwa kuwa 120/80mmHg.

Ugonjwa huu unaweza kumpata mtu yeyote mkubwa au mtoto kulingana na maisha tunayoishi. Presha huathiri vitu vingi mfano idadi ya maji mwilini, idadi ya chumvi, homoni mwilini, hali ya joto au baridi, hali ya hisia au figo, mfumo wa neva na mishipa ya damu.

Kama Presha itakuwa juu na kuachwa kutodhibitiwa, moyo na mishipa haitofanya kazi vizuri kama ipasavyo. Kwa sababu neva na seli za mwili tayari zinakuwa zimeshaathiriwa na presha.
HAPO NDIPO MTU ANAPOTUMIA DAWA ZENYE KEMIKALI INAKUWA NGUMU SANA KUPONA TATIZO HILO. Lakini usijali kama utafuata maelekezo nitakayokupatia ndani ya makala hii ya Presha.

Kwa kawaida tunautofautisha huu ugonjwa katika makundi makuu mawili:
1. Presha ya juu (high blood pressure au Hypertension)
2. Presha ya chini/kushuka (low blood pressure au Hypotension)

VISABABISHI VYA PRESHA KUWA JUU
-Chumvi nyingi
-Unene uliozidi
-Umri mkubwa au uzee
-Figo ikiwa haifanyi kazi
-Historia ya ugonjwa wa Presha katika familia
-Ugonjwa wa kisukari

DALILI ZA MTU MWENYE UGONJWA WA PRESHA
Mara nyingi Presha huwa haina dalili hadi ilete madhara na hivyo imefanya kuitwa "SILENT KILLER" yaani muuaji wa kimyakimya.
Hizi ni baadhi ya dalili:
-Kichwa kuuma
-Kizunguzungu
-Pumzi kubana
-Kutokuona vizuri
-Kichefuchefu

VITU VINAVYOCHANGIA HALI YA MGONJWA WA PRESHA KUWA MBAYA ZAIDI
-Kula chumvi nyingi
-Unene uliozidi
-Kutofanya mazoezi mara kwa mara
-Kunywa pombe nyingi
-Uvutaji wa sigara

TIBA YA UGONJWA WA PRESHA
Mojawapo ya tiba za ugonjwa huu wa Presha ni kuepukana na vitu nilivyovitaja hapo juu vinavyochangia hali ya mgonjwa wa Presha kuwa mbaya yaani kuacha kula vyakula vyenye chumvi au unaweza kuweka kidogo sana, kufanya mazoezi ya angalau nusu saa kwa siku kwa wiki hata mara tatu, epuka vyakula vyenye mafuta mengi na lehemu (cholesterols) maana huwa vinaganda kwenye mishipa ya damu na kusababisha presha, kula zaidi mboga za majani na matunda.
Daktari anapobaini kuwa presha yako yako iko juu kulingana na aina na kiwango cha presha atakushauri kuhusiana na vyakula na jinsi ya kubadili mwenendo wa maisha au atakuanzishia dawa mara moja. Kwa dawa za Hospitali au za kemikali ni muhimu kujua kuwa mara utakapoanzishiwa dawa ujue hautaacha kutumia dawa maisha yako yote la sivyo tatizo litarudi kama mwanzo.

Tunazo dawa zilizotengenezwa kwa mimea katika mfumo wa vidonge ambazo hazina kemikali kabisa na zinatibu kabisa tatizo kwa kuzitumia kwa muda wa miezi mitatu tu.
Wasiliana nasi kwa namba 0767925000 au whatsapp 0622925000. Tunatoa huduma popote Tanzania


TATIZO LA NGOZI (ECZEMA)



ECZEMA au pumu ya ngozi au kwa kitaalamu huitwa atopic dermatitis ni tatizo la ngozi litokanalo na mzio au allergy ya ngozi na reactions za mazingira yanayomzunguka mtu au baadhi ya familia zenye historia ya ugonjwa wa Pumu/Asthma.

Neno Eczema ambalo ndiyo jina la ugonjwa huu ni la Kigiriki linamaanisha kututumka sehemu ya ngozi, hali amabayo huonekana pindi mgonjwa anapopata maradhi haya. Maradhi haya ya ngozi yanachangia asilimia arobaini (40%) ya magonjwa yote ya ngozi yanayoripotiwa Hospitalini.


Maradhi haya hushambulia zaidi watoto na huweza kupitiliza hadi ukubwani, lakini watu wengi huweza kupona au kupungua kadri mtoto anavyozidi kukua. Watafiti wanasema kuwa kumekuwa na ongezeko la maradhi haya katika kipindi cha miaka ya usoni hali inayoashiria kuwa maradhi haya ni ya kurithi (atopic eczema).


Maradhi haya huweza pia kujitokeza ukubwani ingawa ni mara chache Maradhi haya huathiri watu wa jinsia zote kwa uwiano sawa yaani wanaume na wanawake.


DALILI ZA TATIZO
Maradhi haya ni ya muda mrefu, kwa hiyo mtu huweza kukaa nayo kwa muda mrefu ingawa siyo muda wote ngozi itaonyesha dalili za maradhi. Zifuatazo ni baadhi ya dalili za ugonjwa huu:
-Muwasho wa ngozi usio wa kawaida na kupelekea ngozi kupata vipele kisha kuwa kavu na ngumu
-Kuvimba kwa ngozi 
-Sehemu ya ngozi iliyoathirika huwa inatutumka
-Ngozi huwa inakuwa na mipasuko inayoweza kuruhusu vimelea vya maradhi kushambulia sehemu ya ndani ya ngozi
-Maeneo ya ngozi yaliyoathirika huweza pia kuwa na malengelenge na hata kutoa maji
-Bila matibabu ya haraka ngozi inaweza fanya vidonda
-Ingawa maeneo yenye kuathirika huweza kutokea sehemu yoyote ya mwili lakini pumu ya ngozi hupenda kushambulia sehemu za mikono hususani eneo baada ya kiwiko kwenda chini, miguu, viganja vya mikono, eneo la nyuma ya magoti (mkunjo wa mguu kwenye eneo la goti), maungio ya mkono kwenye kiwiko, shingo, sehemu ya juu ya kifua, wagonjwa wengune hupata maambukizi kwenye maeneo yanayozunguka macho, watoto wengi hupata pumu ya ngozi kwenye uso.

Kwa wenye pumu ya ngozi mbaya kabisa sehemu kubwa zaidi ya mwili hututumka na vidonda pamoja na kutokwa na majimaji kwenye maeneo yenye vidonda. Wakati maradhi haya yanapoanza hunyesha dalili za muwasho ambao husababisha mgonjwa kujikuna  na kumsababishia mikwaruzo kwenye ngozi ambayo nayo husababisha vimelea  vya maradhi kuweza kupenya na kusababisha vidonda vikubwa zaidi kutokea kwenye eneo la ngozi. Vidonda vinapotokea hasa kwa mtoto huweza kumsababishia msongo wa mawazo, kama hali hii ikimtokea kwa mtoto wa shule basi hata mahudhurio yake shuleni yatakuwa mabovu au hata kufeli mitihani.


SABABU ZA MASHAMBULIZI ZAIDI
-Kuogea maji ya moto kwa mrefu
-Kuruhusu ngozi ya mwili kukaa ikiwa kavu kwa mrefu (bila kupaka mafuta)
-Kuwa na msongo wa mawazo
-Kubadili joto la mwili yaani kusafiri kutoka  kwenye eneo la joto kwenda eneo lenye baridi au kinyume chake
-Kuvaa mavazi yasiyo ya pamba (cotton)
-Uvutaji wa sigara
-Kukaa kwenye vumbi
-Kukaa kwenye mchanga
-Matumizi ya mafuta ya mwili yanayosababisha mzio wa mwili
-Matumizi ya sabuni zinazosababisha mzio wa mwili
-Ulaji wa chakula kinachosabisha mzio wa mwili, mfano wale wenye mzio wa vyakula vinavyopatikana kwenye maji au baharini.

SABABU ZA PUMU YA NGOZI
Wataalamu wanasema kwamba maradhi haya mtu huzaliwa nayo na kuwa huwa yanarithiwa. Athari za maradhi haya huzidi kutokana na sababu nyingine za ndani au nje ya mwili.
Vitu kama manyoya ya wanyama au mbegu za mimea huweza kusababisha mzio ambao huweza kuleta madhara makubwa  zaidi kutokea kwenye ngozi.

Mtu mwenye dalili au tatizo hili ni vyema awahi kuanza matibabu au anaweza kuwasiliana na sisi kwa namba 0767925000 au whatsapp 0622925000 tutampatia dawa za vidonge atakazozitumia kwa miezi mitatu na tatizo hilo litaisha. Dawa hizi huanza kwa kuondoa chanzo cha tatizo na kuiacha ngozi yako ibaki kuwa nzuri.

Saturday, 15 August 2015

SABABU ZINAZOSABABISHA MWANAMKE ASIPATE MIMBA



Zipo sifa ambazo mwanamke au mwanaume anatakiwa kuwa nazo ili aweze kushika au kumpatia ujauzito mwenzi wake. Kuna wanaume ambao wamekuwa wakiishi maisha ya kutafuta watoto kwa kuwa na uhusiano na wanawake lukuki ndani ya muda mfupi pasipo kutambua kuwa hata wao wana uwezekano mkubwa tu wa kuwa na tatizo la kutozalisha au kutungisha mimba, Wanaume wengi huamini kuwa wanapokuwa na uwezo wa kufanya ngono ndio kigezo cha wao kuweza kuzalisha. DHANA HIYO SIYO KWELI.

Leo tutaziona baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha mwanamke ashindwe kubeba ujauzito. Kwa kawaida mwanamke ili aweze kushika mimba ni lazima aweze kuonekana au kuwa na sifa kama za mwanamke na pia mwanaume ili aweze kumpa mwanamke ujauzito ni lazima awe na sifa kama mwanaume. Hivyo katika sula hili la kutafuta mtoto ni lazima mwanamke na mwanaume washirikiane kwani mwanaume unaweza kujiona kuwa uko fiti kumbe ukija kupima mbegu zako utajikuta una tatizo kubwa.

MATATIZO KWA MWANAMKE
Mwanamke mwenye matatizo ya kutopata ujauzito anaweza kuwa na mojawapo ya matatizo yafuatayo:
1. Atakuwa amekaa na mwanaume au ameishi katika mahusiano ya kimapenzi na mwanaume kwa zaidi ya mwaka mzima lakini hakuna mafanikio.
2. Hulalamika maumivu ya chini ya tumbo mara kwa mara.
3. Maumivu ya hedhi.
4. Kuvurugika mzunguko wa hedhi.
5. Kutoona ute wa uzazi
6. Kukosa hamu ya tendo la ndoa na kusikia maumivu wakati wa tendo la ndoa
7. Kuwa na historia ya kutumia njia za uzazi wa mpango au kuharibika/kutoa mimba.
USHAURI: Endapo una muda wa zaidi ya mwaka hujapata ujauzito na unapata baadhi ya dalili nilizozitaja hapo juu, ni vyema uonane na daktari wa magonjwa ya uzazi ambaye hupatikana katika kila Hospitali za Mikoa, Hapo utafanyiwa uchunguzi zaidi hasa katika vichocheo au homoni za uzazi, vipimo vya mirija ya uzazi na vingine ambavyo daktari atakushauri. Uchunguzi huu mara nyingi huchukua muda mrefu hivyo ni vyema kuwa mvumilivu kwani mara nyingine mvurugiko wa homoni, matatizo ndani ya kizazi yanaweza kuwa yamesababishwa na uvimbe au maambukizi.

MATATIZO YA UZAZI KWA MWANAUME
Uchunguzi kwa mwanaume ni kuangalia mbegu za uzazi na kupima korodani, Mwanaume unaweza kujifahamu kama una tatizo endapo utakuwa na dalili zifuatazo:
1. Kuishi na mwanamke au mpenzi kwa zaidi ya mwaka lakini hakuna mimba kwa mwanamke
2. Upungufu wa nguvu za kiume
3. Kutoa manii au shahawa nyepesi sana na zenye harufu mbaya.
4. Maumivu ya muda mrefu ya korodani
5. Maumivu ya kiuno kwa muda mrefu
6. Maambukizi katika njia ya mkojo mara kwa mara
7. Uvutaji wa sigara kwa muda mrefu
8. Unywaji wa pombe kali, matumizi ya dawa za kulevya mfano bangi na mirungi.
USHAURI: Matatizo haya pia hutibika kwa kumuona daktari wa magonjwa ya uzazi. Vipimo vya mbegu na korodani hufanyika. Vipimo vingine hutegemea uwepo wa matatizo mengine kama kuwahi kumaliza tendo la ndoa, upungufu wa nguvu za kiume, uchovu mkali baada ya tendo la ndoa na maumivu katika njia ya mkojo.

Ni vyema kuwahi Hospitali mapema mara tu unapojigundua kuwa una baadhi ya hizo dalili.

Kwa ushauri na tiba za magonjwa yote hususani ya uzazi tafadhali waweza wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 0622925000, tunazo dawa zinazotibu matatizo yote hayo, zimetengenezwa kwa mimea na matunda na ziko katika mfumo wa vidonge.


Sunday, 9 August 2015

Vyakula vinavyoimarisha Afya ya Ngozi



Ni matumaini yetu kuwa hamjambo na mnaendekea na shughuli za uzalishaji ili kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo.
Karibuni tena wasomaji wa makala zetu za Afya. Leo tutaangalia aina ya vyakula vinavyoweza kuimarisha Afya ya Ngozi.

Bila shaka kula vyakula vyenye virutubisho ni jukumu la lazima kwa kila binadamu kama anahitaji kuwa na Afya njema. Dunia ina vyakula vya Asili ambavyo ndani yake kuna virutubisho muhimu vinavyosaidia mwili kupambana na magonjwa na pia kuimarisha Afya.
Vyakula hivyo si vingine bali ni vile vya kijani ambavyo vina uwezo mkubwa zaidi katika kuponya maradhi na kusaidia pia kukarabati, kujenga mwili na kuimarisha ngozi. Ngozi ni sehemu muhimu ya mwili ambayo ina jukumu kubwa la kuukinga na kuufunika mwili na viungo mbalimbali na Afya yake ni jambo la kuzingatiwa.

Aina ya vyakula tunavyopendelea kula vinaweza kuchangia katika mwonekano wa ngozi zetu na kusaidia kupambana na matatizo ya ngozi, kupunguza mikunjo ya uso na suala zima la Afya na muonekano wa ngozi. Inawezekana kabisa kila mmoja anapenda kuonekana na ngozi nzuri isiyoonekana kuzeeka mapema lakini tatizo kubwa ni kutojua nini cha kufanya ili kudumisha Afya ya ngozi zetu na matokeo yake tunajikuta tunajiletea madhara yasiyoweza kutibika kirahisi kwa kupenda urembo wa njia mkato (vipodozi vyenye sumu kali). Pia inawezekana tukatumia pesa na muda mwingi katika kuhakikisha ngozi inakuwa nyororo, nzuri na ya kuvutia, lakini pengine ukawa hufahamu kuwa kuna aina za vyakula vinavyosaidia katika kutunza ngozi na tena bila gharama kubwa. Kwa kawaida kila aina ya chakula tunachokula huenda moja kwa moja kuwa sehemu ya mwili na pia matatizo mengi ya ngozi kama chunusi ya Eczema yanahusiana kwa kiasi kikubwa na Lishe. Kwa hiyo tunashauliwa kula vyakula ambavyo vina virutubisho vyote vya muhimu kwa kufuata kanuni za Afya ili kuufanya mwili uwe na Afya nzuri kwa kula chakula bora, kufanya mazoezi mara kwa mara, kupumzika kwa muda mrefu. Vivyo hivyo ngozi nayo inatakiwa kutunzwa vyema kupitia lishe.

Vifuatavyo ni vyakula vinavyoweza kuimarisha Afya ya ngozi:
1. ASALI=> Asali ambayo hutengenezwa na nyuki kwa viambato asilia ni chakula muhimu kwa ajili ya ngozi na pia Afya ya binadamu. Husaidia kutunza na kuhifadhi unyevu  kwenye ngozi na ina kiwango kikubwa cha sukari na asidi ambavyo huzuia vijidudu wanaozaliana kwenye ngozi. Tunashauriwa kuwa ili tuweze kulinda ngozi, paka asali wakati wa kuoga, acha muda kiasi kisha ioshe. Kufanya hivyo husaidia sana kuimarisha na kunawirisha ngozi.

2. VYAKULA VYA BAHARINI=> Vyakula hivi huwa vina kiwango kikubwa cha Zinc na Omega 3 ambazo ni muhimu sana kwa ngozi. Faida za Omega 3 ni pamoja na kuondoa kukakamaa au ukavu wa ngozi, kupunguza kuvimba na kukunjamana kwa ngozi na kusaidia mzunguko mzuri wa damu mwilini hivyo kuboresha ngozi. Zinc husaidia chunusi na harara katika ngozi kwa kuyeyusha homoni za testosterone. Pia husaidia kuzalishwa seli au chembe zilizokufa huku ikiifanya ngozi ing'ae na kuwa na mvuto.

3. MAYAI=> Kiini cha yai kina Vitamini A na B huku sehemu yenye ute ikiwa na protini nyingi ambayo ni muhimu sana kwa ngozi. Vitamini A husaidia kuondoa chunusi na mikunjo ya ngozi. Vitamini B pamoja na Protini ni muhimu kwa Afya ya ngozi/kucha na huifanya ngozi iwe nyororo na yenye kung'aa. Husaidia pia kuilinda ngozi na mionzi ya jua.


Mpenzi msomaji, matunda yenye vitamini C ambayo ni Machungwa, Malimao na mengineyo ni muhimu pia katika afya ya ngozi kwa sababu husaidia kutengeneza Collagen ambayo ni aina ya Protini unayotengeneza ngozi. Vitamini C inasaidia kuondoa uvimbe na mikunjo ya ngozi na hivyo kuilinda ngozi isizeeke mapema.

Hivyo ni baadhi tu ya vyakula ambavyo ni muhimu kwa Afya ya ngozi. Pia tunatoa huduma za tiba kwa dawa ambazo hazina kemikali, dawa zetu zipo katika mfumo wa vidonge. Zinatibu magonjwa tabia yote (yasiyo ya kuambukizwa) kama vile Kisukari, Presha, Matatizo ya moyo, Vidonda vya tumbo, kukosa choo, matatizo ya hedhi, mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa, upungufu wa nguvu za kiume n.k.
Mawasiliano yetu ni 0767925000 au whatsapp 0622925000. Tunatoa huduma popote Tanzania kupitia kwa Mawakala wetu.
KARIBUNI SANA

Saturday, 1 August 2015

ZITAMBUE DALILI ZA MIMBA CHANGA


Habari za leo mpenzi msomaji wa makala zetu, leo tunapenda kugusia kwa kiasi kidogo kuhusu dalili za mimba changa. Hili somo tumeamua kulileta baada ya wasomaji wetu wengi kuendelea kutuuliza maswali kuhusu namna mwanamke anavyoweza kugundua kuwa ni mjamzito hasa kwa akinadada ambao ndiyo mara yao ya kwanza kuwa katika hali hiyo.

Zifuatazo ni baadhi ya dalili ya mimba changa:
KWANZA. Mabadiliko katika siku zako(spotting). Unaweza kupata mimba na ukaendelea kuona damu mwezi huo. Hii hutokea yai lililorutubishwa linapojipandikiza katika kizazi. Mishipa ya damu iliyojaa katika ukuta huu tayari kulisha kiumbe huachia damu kidogo ambazo mwanamke anaweza kufikiri ni hedhi yake ya kawaida. Hata hivyo mabadiliko yataonekana kwani kiwango cha siku za damu hubadilika.

PILI. Kuongezeka ukubwa na kupata maumivu kwenye maziwa(chuchu). Hii inasababishwa na kuongezeka kwa homoni za estrogen pale unakuwa umeshika mimba. Hali hii huisha katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza.

TATU. Kichefuchefu na kutapika. Hali hii huwa mbaya zaidi wakati wa asubuhi unapotoka kulala. Na hii ni kwa sababu ya homoni za progesteron ambazo husababisha kupungua nguvu kwa msuli wa mrija wa chakula au koromeo.

NNE. Uchovu na usingizi usiokuwa wa kawaida na bila sababu. Hali hii husababishwa na ongezeko la  homoni ya progesteron na mama utajikuta unapata usingizi kila mara. Hali hii huisha unapoanza mwezi wa nne wa mimba.

TANO. Kusumbuliwa na harufu mbalimbali. Hii hutokea hasa unapopata mimba ya kwanza utachukia harufu ya baadhi ya vyakula na vinywaji mbalimbali. Wakati mwingine hata harufu za baadhi ya watu zinaweza kukukera. Hapa kidogo panachekesha kwani baadhi ya akinamama huchukia hata harufu ya wapenzi au waume zao.

SITA. Kujaa gesi tumboni. Utaona baadhi ya nguo zako zinakubana zaidi sehemu ya tumbo. Hii ni kwa sababu ya homoni nyingi mwilini zinakufanya kujisikia tumbo kujaa.

SABA. Kukojoa mara kwa mara. Hii hutokana na kuwa na damu nyingi mwilini ambayo huongezwa na homoni za ujauzito makusudi kutoa lishe ya kutosha kwa mama na kiumbe kilichomo tumboni. Kikemia ukiwa na damu nyingi  mwilini utakojoa sana. Pili utajisikia kwenda sana haja ndogo mara nyingi pale kiumbe kitapoongezeka na kubana kibofu cha mkojo.

NANE. Kuongezeka kwa joto la mwili. Kwa akinamama ambao hupima joto lao kwa njia ya uzazi wa mpango, watagundua kuwa joto limepanda kwa muda wa wiki mbili au mbili na nusu mfululizo.

TISA. Kutoona siku zako za hedhi kabisa. Kwa akinamama ambao siku zao hazibadiliki au huenda vizuri yawezekana wakagundua pale wanapokosea siku na pengine kukimbilia hospitali. Hata hivyo kwa wale ambao siku zao hubadilika sana wataona ni kawaida ila kama ameshika mimba ataona mchanganyiko wa kichefuchefu, uchovu, kusinzia pamoja na kukojoa mara kwa mara.

KUMI. Kupima mkojo kwa kutumia kipimo cha karatasi ngumu. Pharmacy nyingi huuza vipimo ambavyo ukivichovya kwenye mkojo wako huweza kugundua homoni za mimba kwenye mkojo. Hii unaweza kupima mwenyewe ukiwa nyumbani au hata kazini. Kipimo hiki ukikichovya kwenye mkojo kama karatasi inavyoelekea utaona mistari baada ya dakika moja inajitokeza upande wa chini, ikitokea mistari miwili basi utakuwa una mimba na ukitokea mmoja itakuwa hauna mimba. Lakini kipimo hiki huwa kina changamoto zake kwa baadhi ya akinamama ambao kulingana na matatizo ya kiwango cha homoni mwilini hakitaweza kuonyesha majibu mpaka wapitishe wiki moja bila kuona siku zao.

Pamoja na dalili hizo hapo juu, ni vyema kupata ushauri wa kitaalamu zaidi kutoka kwa daktari aliyepo karibu na wewe.
Kama una tatizo lolote la kiafya, mwanaume au mwanamke waweza wasiliana nasi kupitia namba zetu 0767925000 au whatsapp 0622925000 tutakuhudumia popote ulipo Tanzania. Dawa zetu zote zimetengenezwa kutokana na mimea na ziko katika mfumo wa vidonge.

Friday, 31 July 2015

TAMBUA MUDA SAHIHI WA KULA MATUNDA



Watu wengi hula matunda kipindi wanapojisikia wao pasipo kutambua kuwa inatupasa kula matunda kipindi maalumu na pia hilo tunda inabidi liwe na sifa maalumu, siyo kula tunda tu mradi ni tunda.

Kama nilivyosema hapo awali kuwa watu wengi hupenda kula tunda kwa muda wanaoutaka wao au wanakula kwa kujikuta tu wanakula matunda pasipo kupanga au wengi wamekariri kula matunda baada ya mlo. Hii siyo sahihi.

Basi leo ndugu zangu napenda kuwaelezea somo hili kuhusu ulaji sahihi wa matunda. Kwanza inabidi tuzitambue faida za matunda katika miili yetu. Matunda yana faida nyingi sana kwa Afya ya binadamu, hivyo yatupasa kuyapa kipaumbele mkubwa katika milo yetu ya kila siku. Matunda ni chanzo kikubwa cha Vitamin mwilini, hulinda  mwili kwa kuongeza kinga ya mwili, hupunguza uzito wa mwili kwa watu wanene, hulainisha ngozi, huondoa sumu mwilini, hufanya mishipa ya damu kusafirisha damu vizuri, huongeza na kuimarisha nguvu ya mwili/nguvu za kiume n.k.

JINSI YA KULA MATUNDA ILI UFAIDIKE

1. KULA TUNDA KIPINDI UKIWA NA NJAA
Unapokula tunda wakati tumbo likiwa wazi/njaa, matunda husagika kwa urahisi. Baada ya saa moja au zaidi unaweza kula sasa mlo wako mwingine wa kawaida.

2. USILE MATUNDA BAADA YA MLO
Imezoeleka watu wengi kula matunda baada ya mlo kamili. Hata kwenye Hafla na Taafrija, matunda huliwa mwishoni baada ya chakula, HII SIYO SAHIHI KABISA na hayo ni miongoni mwa makosa mengi yanayofanyika kwa sababu ya mazoea tu. Inaelezwa kuwa ulaji wa matunda baada ya mlo siyo sahihi kwa sababu matunda huyeyuka haraka kuliko chakula cha kawaida . Tunda linapokuwa tayari kutoka tumboni kuelekea kwenye utumbo mwembamba huzuiliwa na chakula. Baada ya muda tunda huchanganyikana na chakula na kuoza na hatimaye huzalisha asidi ambayo humfanya mtu kuumwa tumbo baada ya kula matunda, lakini pia virutubisho vyake hupotea.

Ili kuepukana na hali hiyo ya msongamano kwenye tumbo, kula matunda saa moja kabla ya mlo au angalau masaa mawili baada ya mlo. UKIZINGATIA UTARATIBU HUO UTAKUWA UMETOA NAFASI YA CHAKULA KUSAGIKA NA BILA KUZUIA UYEYUKAJI WA MATUNDA

3. ZINGATIA KIWANGO CHA SUKARI KWA BAADHI YA MATUNDA
Baadhi ya matunda kama vile papai, ndizi mbivu yana kiasi kingi cha sukari, japo karibu kila matunda yana sukari lakini baadhi yana kiasi kingi zaidi. Hivyo inashauriwa kula matunda kwa kiwango cha wastani kila siku bila kuzidisha kiwango cha sukari cha gramu 25 kinachohitajika kwa siku.
Aidha unapokula tunda hakikisha unakula kwa ukamilifu wake ili kupata virutubisho vyake. Kwa mfano unapokula chungwa hakikisha unakula pamoja na nyama zake ili kupata virutubisho vyote muhimu vilivyomo. Pia ulapo tango jitahidi baada ya kuliosha ule pamoja na maganda yake.

Jiwekee tabia ya kula matunda ya aina mbalimbali kwa nyakati tofauti ili kupata Vitamin na Madini tofauti tofauti kulingana na mahitaji ya mwili. Hii ni kwa kuwa matunda ndiyo yanayojenga na kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi na kamwe hutasumbuliwa na magonjwa mara kwa mara.

Mpendwa msomaji wa makala zetu endelea kufuatilia masomo mbalimbali ndani ya Blog hii. Mawasiliano yetu ni 0767925000 au whatsapp 0622925000.

Thursday, 30 July 2015

JE, KIPODOZI UKITUMIACHO HAKINA SUMU? SOMA HAPA UPATE KUJUA

Serikali ya Tanzania kupitia mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imevipiga marufuku baadhi ya vipodozi kuuzwa na kutumika kwa matumizi ya binadamu hususani ngozi/urembo kwani imebainika kuwa vina madhara makubwa kwa watumiaji.
Madhara hayo yamegawanyika katika makundi mawili ambayo ni madhara yanayotokea baaada ya muda mfupi na yale yanayotokea baada ya muda mrefu.
Madhara yanayojitokeza kwa muda mfupi ni pamoja na kubabuka ngozi na
ngozi kuwa nyekundu au mabaka meusi.
Madhara yanayojitojeza baada ya muda mrefu ni Kansa ya ngozi, kuharibika kwa figo, zinaangamiza mfumo wa fahamu hasa ubongo na kusababisha matatizo ya kusahau na msongo wa mawazo, magonjwa ya mfumo wa upumuaji kama vile Asthma/Pumu ya ukubwani, kuharibika kwa mfumo wa homoni kwa akinadada na kusababisha matatizo katika via vya uzazi kama vile maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi, kusikia maumivu wakati wa tendo la ndoa, uvimbe kwenye kizazi, mama mjamzito ni rahisi kujifungua mtoto mwenye matatizo ya akili/taahira n.k

Tangu kuanza kwa udhibiti wa vipodozi nchini, aina 250 za vipodozi vimegundulika kuwa na viambata sumu na hivyo kupigwa marufuku kutumika nchini. Japo idadi ya vipodozi vilivyopigwa marufuku imeongezeka lakini watumiaji ambao wengi ni akinadada na akinamama wamekuwa wagumu kuacha kiasi kwamba vipodozi hivi vimekuwa vikiuzwa kwa siri na wauzaji hivyo kufanya zoezi la uzuiaji wa vipodozi hivi kuwa gumu. Wanawake wengi wametawaliwa kuwa wakiwa weupe basi ndipo watapendeza au watapendwa zaidi na wanaume.

Cream na Lotion zilizopigwa marufuku zenye kiambato cha HYDROQUINONE ni Mekako Cream, Rico complexion cream, princess cream, extra clear cream, miki cream, viva super lemon cream, ultra skin tone cream, fade out cream, palmer's skin success(pack), fair & white active whitening cream, fair & white strong bleaching treatment cream, fair &white body clearing milk, maxi - tone fade cream, nadinola fade cream, clear essence medicated fade cream, peau claire body lotion, reine clair rico super body lotion, tura lotion, miki beauty cream, extra clair lightening body lotion, clear essence skin beautifying milk, tura skin toning cream, madonna medicated beauty cream, kiss medicated beauty cream, princess patra luxury complexion cream, envi skin toner, zarina medicated skin lightening clere lemon cream, binti jambo cream, malaika medicated beauty ceam, Dear Heart with Hydroquinone Cream, Nish Medicated Cream, Care plus fairness cream, Top clear cream, A3 Skin Lightening Cream, Clear Touch Cream, Rico skin tone, Ultimate skin lightening cream, Immediate Claire Lightening Body Cream, Skin Lightening Lotions containing Hydroquinone, Jaribu skin lightening lotions, Princes Lotion, Clear touch lotion, Super max tone lotion, No Mark Cream.

Pia zimo lotion kama G & G Dynamiclair lotion, G & G Teint Uniforme, G & G Cream Lightening Beauty Cream, Dawmy - lightening body lotion, Maxi White Cream, Bio Claire Lightening body lotion. Kundi lingine ni CREAMS za Amira cream, Jaribu Cream, Peau Claire Cream, Skin balance lemon cream, Skin Success Cream, Miss Caroline Cream, Lemonvate Cream, Movate Cream, Mediven Cream, Diproson Cream, Dermovate Cream, Top Lemon Plus, Lemon cream, Beta Lemon Cream na Unic Clear Super Cream. Kwa ujumla ni vipodozi vingi vilivyopigwa marufuku ambavyo vina viambata vya HYDROQUINONE, MERCURY, ALUMINIUM ZIRCONIUM COMPOUND, PHYTOLACEA, TIN OXIDE, MALIC ACID, APPOCYNUM CANNABIUM ROOT EXTRACT, TUSSILAGO FARFARA, BLUE CAP na STEROIDS.Tambua kuwa viambata hivyo ni sumu. Hivyo uonapo kipodozi chenye mojawapo ya hicyo viambata basi tambua hakifai kwa matumizi ya binadamu. Ushauri uliotolewa ni kutumia vipodozi ambavyo havina viambata hivyo au unaweza kutumia baadhi ya vipodozi vinavyotengenezwa kiasili.

Mawasiliano yetu ni 0767925000 au whatsapp 0622925000, Tunatoa huduma za Tiba kwa kutumia dawa zisizo na kemikali, dawa zetu zote zimetengenezwa kwa mimea na matunda na ziko katika mfumo wa vidonge.

Thursday, 23 July 2015

MADHARA YA UPIGAJI PUNYETO

PUNYETO ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hiyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yote yanayoweza kuambukizwa kwa njia ya tendo la ndoa kwani yenyewe haimshirikishi mtu mwingine.

Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi kama utatumia njia mbalimbali za kujitomasa na kujipapasa ya kujistarehesha.

Hakuna mtu anayezaliwa akijua mwili wake unavyoitikia msisimko wa kimapenzi, Inakubidi kujifunza kwa majaribio salama. Na kwa vile kila mtu yuko tofauti, njia nyingine ya kujua jinsi unavyoweza kumstarehesha mpenzi wako ni kujifunza kutoka kwako mwenyewe.

Unaweza kufikia kilele cha starehe yako kwa kuutomasatomasa uume wako au kisimi kwa wanawake, lakini kutakupa hamu kubwa ya ashiki na kufikia kutoshelezwa vya kutosha kama utapapasa pia sehemu nyinginezo za mwili wako.


KWANINI PUNYETO HUONEKANA KUWA MAKOSA?
Msimamo wa dini nyingi na watu wengi ni kuwa punyeto ni dhambi, mwiko, jambo lililokatazwa na jambo lisilokubalika kabisa. Lakini wanasayansi wanasema ni jambo salama kiafya na dhana zilizopo kulihusu ni imani binafsi na chaguo la mtu. Wanaume na Wanawake wengi tu hupiga punyeto maishani mwao kwani huwafanya kujisikia vizuri na kuondoa mihemko ya kimapenzi bila kujiingiza katika ngono na mtu mwingine.

SASA TUONE MADHARA YA PUNYETO
1. Mtu anapodumu katika kufanya tendo hili, ngozi ya uume wake huwa ngumu na kusababisha kudhoofika kwa nguvu au hisia zake. Hali hii husababisha manii yake kutoka bila ya kuchanganyikana na ute wa prostate ambao una mchango mkubwa katika kutuliza kiamshi-shahawa.
2. Kuna kipindi mpiga punyeto kutokana na sababu hiyo ya kwanza anaweza kumwaga damu badala ya manii. 
3. Hawezi kuridhika kwa kufanya mapenzi na mwanamke maana amezoea kutumia mikono ambayo siyo laini kama uke wa mwanamke. Tukumbuke kuwa mpiga punyeto hawezi kujitosheleza hadi afanye kumleta au kumuwaza mwanamke fulani kisha anakuwa kama vile anafanya nae mapenzi, hapo ndipo ataweza kumaliza haja zake.
4. Madhara mengine ni maumivu ya kichwa, mgongo, kupoteza nguvu za mwili na uwezo wa macho kuona hupungua.
5. Madhara makubwa kabisa hasa kwa wanaume/vijana wanaofanya sana hili tendo ni kupoteza uwezo wa kuzalisha au kumpa mimba mwanamke. Hili linatokana na kukosekana kwa mbegu komavu za kiume zinazotakiwa kwenda kwenye mfuko wa uzazi.
6. Kujichua au kupiga punyeto kupita kiasi huweza kusababisha uume kupoteza hisia halisi ya tendo la ndoa.

Nadhani baada ya kuona madhara ya punyeto sasa ni rahisi kuacha tendo hilo, cha muhimu ni kuhamishia hisia kwa mpenzi wako uliyenaye au ni bora kabisa kijana ukaoa ili uishi na mpenzi wako daima.

Je, tayari umeshaathirika na tatizo la upigaji punyeto kutokana makali hii ulivyoisoma na unataka kuacha kisha urudishe heshima ya tendo la ndoa kwa mpenzi wako? 
Wasiliana nasi ili tukupatie vidonge vyetu vilivyotengenezwa kwa mimea ya 'butea superba na cordyceps'. Mimea hii hutibu kabisa tatizo hili kwa muda wa mwezi mmoja tu na itarudisha heshima vizuri tu kwa mpenzi wako. Inaimarisha misuli na kusambaza damu vyema katika uume na kukufanya kufurahia tendo la ndoa kadri utakavyo bila kuchoka.
Mawasiliano yetu ni 0767925000 au whatsapp 0622925000. Utapata huduma yetu popote ulipo Tanzania.

Saturday, 18 July 2015

MWANAMKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa au kukosa nyege huwatokea zaidi wanawake kuliko wanaume, lakini wanaume hukerwa zaidi kuliko wanawake, ifahamike kuwa mwanaume akikosa hamu ya tendo la ndoa mwanamke au mke wake atajua tu, ila mwanamke akikosa hamu ya tendo la ndoa siyo rahisi mwanaume kujua kama hatamwambia au hatakuwa muwazi. Tatizo hili linaathiri asilimia 20 ya wanaume wakati wanawake ni mara mbili ya wanaume.

Hali ya kujisikia kufanya mapenzi kwa mwanamke inabadilikabadilika sana ikipanda na kushuka kulingana na matukio mbalimbali yanayomtokea katika maisha yake. 

MATUKIO YANAYOATHIRI MWANAMKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
-Kuisha kwa mahusiano ya kimapenzi na mwanaume
-Kuwa na matatizo/ugomvi wa mara kwa mara katika mapenzi/mahusiano
-Kupata ujauzito
-Kuwa na magonjwa mbalimbali
-Kuwa na mawazo au stress hasa kwa wanawake waliokosa kushika mimba kwa muda mrefu


JINSI YA KUTAMBUA KAMA UNA TATIZO HILI
Kwanza ifahamike kuwa tatizo hili halitokei ghafla tu kama kuugua mafua, huanza taratibu sana na pengine mwanamke anaweza asigundue. Sanasana pima mwenendo wako wa masuala ya mapenzi kwa mwaka uliopita na miezi ya hivi karibuni. Tatizo hili halitokei kwa kutofanya mapenzi kwa muda mrefu au kuhesabu kuwa umeshafanya mapenzi mara ngapi. Mawazo yako kuhusu tendo la ndoa ndiyo ya muhimu katika kujipima.


Viashiria vingine ni vyaweza kuwa kila mara uwapo chumbani na mpenzi wako na anakutomasa sehemu mbalimbali zenye kuleta hisia lakini kwa muda mrefu husikii chochote au hupati nyege basi tambua tayari una tatizo hilo.



MWANAUME KUWAHI KUMALIZA ANAPOFANYA TENDO LA NDOA

Kutoka mbegu za kiume muda mfupi baada ya kumwingilia mwanamke huitwa premature ejaculation. Huu ni udhaifu wa kawaida kwa wanaume walio wengi ikiwa ni pamoja na vijana wenyewe. 


Mtaalamu Ira Sharlip anasema katika utafiti wake kuwa, ni kiasi cha asilimia 20 hadi 30 ya wanaume wa rika zote wana tatizo hili la kumaliza mapema pindi wafanyapo ngono na wenza au wapenzi wao.

Njia za kitabibu za kuweza kumtambua mtu mwenye udhaifu huu huitwa Intravaginal Ejaculation Latency Time (IELT). Hata hivyo mtaalamu Ira Sharlip anaongeza kuwa utaratibu huu haumsaidii sana muathirika wa tatizo hili. Kuna wanaume ambao wanamaliza katika dakika moja tu baada ya kuingiza uume wake ndani ya uke wa mwanamke, wanaume hawa wengi wao hudai kuwa hawana matatizo japo huo ndo mwanzo wa tatizo hilo.
Na kwa upande mwingine kuna wanaume ambao wanaweza kuchukua dakika 20 au zaidi bila kutoa mbegu wakati wa kufanya mapenzi, hilo linawezekana tu endapo mwanaume hana tatizo la premature ejaculation na anaweza kuhimili na kuzitawala hisia zake hasa shahawa zinapokaribia kutoka. Kwa kawaida kipimo sahihi cha kuwahi kumaliza ni chini ya dakika tano, hapa ina maana kwamba mwanaume yeyote anayemaliza kabla ya dakika tano basi atambue kuwa ana tatizo hili la premature ejaculation.

Zipo baadhi ya sababu zinazoweza kuchangia tatizo hili ikiwa ni pamoja na mwanaume kuwa na mawazo mengi, upigaji wa punyeto, ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na unywaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi.

Kuna dawa ambazo muathirika wa tatizo hili akipewa anaweza kurefusha muda wa kumaliza kama vile za kupooza msongo wa mawazo, kula chakula bora chenye mboga za majani na matunda,  Kufanya mazoezi ya kutosha ambayo humjenga mlengwa namna ya kukabiliana na tendo la ndoa. Pia njia nyingine ni kujizoeza kuacha kulifikiria tendo lenyewe wakati unapohisi unakaribia kumaliza kwa kufanya polepole zaidi au kufikiria mambo mengine ya nje kama vile kuwaza mpira wa Yanga na Simba au Barcelona na Real Madrid! Jenga mazoea ya kufanya hivyo ili kukufanya  uzoee. 

Pia ni vizuri ukapata dawa yetu iliyotengenezwa kwa mimea ya butea superba kwani inawezekana pengine misuli ya uume imedhoofika na hata mbegu zimepungua hivyo uume unakuwa hauko imara.
Dawa hii imesaidia wengi sana, ina vidonge vinne tu kwa dozi nzima na utatumia kidonge kimoja tu kwa siku.

KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUIPATA DAWA HIYO WASILIANA NASI KWA 0767925000 AU WHATSAPP 0622925000 AU LIKE PAGE YETU FACEBOOK "Masha Nutrition Health Care"ili ujifunze mengi kuhusu Afya yako.

Friday, 17 July 2015

UFAHAMU UGONJWA WA ASTHMA (PUMU)

 Ugonjwa wa Pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia za hewa ambazo huingiza na kutoa hewa  katika mapafu. Mtu akipata ugonjwa wa pumu, kuta za ndani za njia ya hewa hupata maumivu na kuvimba. Maumivu katika njia za hewa huzifanya njia hizo kujihami kwa kusinyaa na hivyo kupunguza kiasi cha hewa kinachopita kwenda katika mapafu. Hali hii hufanya muathirika kutoa mlio kama filimbi au mluzi wakati wa kupumua.

VYANZO VYA PUMU
Baadhi ya allergy au vizio vifuatavyo huweza kusababisha Pumu:
-Vumbi
-Mende
-Chavua (pollen) kutoka kwenye miti na majani
-Magamba ya wanyama, manyoya n.k
-Moshi wa sigara
-Harufu kali kutoka kwenye rangi au chakula
-Msongo wa mawazo
-Uchafuzi wa hewa

Vingine ni kama:
-Dawa kama Aspirin
-Ugonjwa wa kucheua
-Kuwashwa mwili au vizio vitokanavyo na kemikali
-Magonjwa ya njia za hewa

DALILI ZA PUMU
Ugonjwa wa Pumu unaweza kuendana na dalili zifuatazo;
-Kikohozi kikali hasa nyakati za usiku na alfajiri, hali hii humfanya mgonjwa kutolala
-Kutoa mlio kama vile mtu anapiga mluzi au filimbi wakati wa kupumua
-Kifua kubana. Mgonjwa husikia kama vile kuna kitu kinakandamiza kifuani au wakati mwingine kujisikia kama vile kuna mtu amemkalia kifuani.
-Uwezo wa kupumua kupungua au mgonjwa anapumua kwa shida. Hali huu husababishwa na kukosekana kwa hewa inayoingia na kutoka kwenye mapafu.
-Kupumua haraka haraka.


Ikumbukwe kuwa si watu wote wanaokuwa na dalili hizo kuwa watakuwa na Asthma, japo hali hiyo yote huashiria uwepo wa matatizo katika njia za upumuaji. Ni vyema kutembelea kituo cha huduma za Afya kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Pumu ni ugonjwa sugu, hivyo matibabu yake ni ya muda mrefu. Vipimo mbalimbali vinaweza kufanyika vikiwemo X-ray ya kifua, Skin allergy test, kipimo cha kuchunguza kiwango cha hewa ya oxygen kilichopo kwenye damu ya mgonjwa (oximetry) n.k.

Matibabu ya Pumu ni pamoja na kuepuka vyanzo vya ugonjwa huo. Wanaopata ugonjwa huu kutokana na msongo wa mawazo hupewa ushauri maalumu. Kuna matibabu ya aina mbalimbali ya ugonjwa huu yakiwemo ya kawaida na yale ya dharura endapo mgonjwa kapatwa na shambulio la ghafla (asthmatic attack). Baadhi ya dawa hizo ni pamoja na zile za expectorants, bronchodilators, drip ya cortisone au nebulizer, antihistamine, steroids drugs, intravenous muscles relaxants n.k.

Pamoja na hayo, tiba hizo mara nyingi hutuliza dalili tu au muonekano wa namna ambavyo mgonjwa anajisikia kwa muda huo. Tunazo dawa zilizotengenezwa kwa mimea ya militaris, biloba na uyoga mwekundu ambazo zina jumla ya vidonge 60 kila moja, mgonjwa atazitumia kwa muda wa miezi mitatu na atapona kabisa.
Kazi ya uyoga mwekundu katika mwili ni kuongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa, huufanya mwili uwe imara, kwa kushirikiana na militaris na biloba hutibu kabisa matatizo yote ya mfumo wa upumuaji na kuondoa matatizo yote yanayohusiana na upumuaji. Dawa zote hizo zipo katika mfumo wa vidonge.
NB: MGONJWA ATUMIE DAWA HIZI KWA MIEZI MITATU PASIPO KUKATIZA DOZI 

WASILIANA NASI KWA NAMBA 0767925000 AU WHATSAPP  0622925000 KWA MAELEZO ZAIDI. PIA like page yetu ya facebook 'Masha Health Products" UTAJIFUNZA MENGI KWA AFYA YAKO

Thursday, 16 July 2015

ZIJUE DALILI NA VISABABISHI VYA KANSA YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER)

 Ugonjwa wa Kansa ya shingo ya kizazi ni ugonjwa unaoshambulia kizazi cha mwanamke. Tukumbuke kuwa sehemu hii ipo chini ya mji wa mimba ambayo huunganisha uke na mji wa mimba. Urefu wake ni karibu inchi mbili hivi.

DALILI ZAKE NI:
1. Kutokwa na uchafu sehemu za siri.
2. Kutokwa damu nyingi kuliko kawaida siku za hedhi
3. Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
4. Kupata siku za hedhi bila mpangilio (siku za hedhi kubadilikabadilika kila mwezi)
5. Maumivu makali chini ya kitovu

VIHATARISHI/VISABABISHI VYA KANSA YA SHINGO YA KIZAZI
1. Magonjwa ya zinaa
2. Akinamama wanaojifungua mapacha kila mara
3. Mwanamke kuwa na wapenzi wengi
4. Mwanamke kuanza kuzaa akiwa na umri mdogo
5. Uvutaji wa sigara
6. Utumiaji wa vidonge vya uzazi wa mpango/Vitanzi
7. Ulaji mbovu wa vyakula hasa vyenye mafuta mengi
8. Upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI)

AINA ZA KANSA YA SHINGO YA KIZAZI
1. SQUMOUS CELL CANCER.
    Hii hushambulia kwa nje ya kizazi.
2. ADENOR CARCINOMAR CELL CANCER.
    Hii hushambulia ndani ya ngozi ya kizazi.

HABARI NJEMA KWA TIBA YA UGONJWA HUU
Wataalamu wa utafiti wa dawa kwa kutumia mimea kutoka Thailand na China wamegundua na kutengeneza dawa katika mfumo wa vidonge ambavyo vimetokana kwa mimea ya nyanya, maharage ya soya, uyoga mwekundu na ginsen. 
Dawa hizi zitumike kwa muda wa miezi mitatu na mgonjwa atapona kabisa.

Kama una mgonjwa ana tatizo au dalili hizo waweza wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 0622925000 ili umchukulie dawa hizo popote ulipo Tanzania.
















Sunday, 12 July 2015

FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO (ULCERS)


Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea endapo kidonda cha ukubwa wa angalau nusu sentimeta kitatokea kwenye sehemu yoyote ya ukuta wa tumbo au utumbo wa binadamu. Kwa kawaida tatizo hili husababisha maumivu makali sana ya tumbo ingawa si lazima kila maumivu makali ayapatayo mgonjwa husababishwa na vidonda vya tumbo.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa karibu 70% - 90% ya vidonda vya tumbo husababishwa na vimelea vya bakteria wajulikanao kama HELICOBACTER PYLOR. Aidha matumizi ya baadhi ya dawa za kutuliza maumivu za jamii ya Non Steroid Anti-Inflamatory Drugs kama Aspirin au Diclofenac huweza kusababisha au kuongeza uwezekano wa kupata ugonjwa huu.

Kuna dhana iliyozoeleka kuwa vidonda vya tumbo huathiri zaidi mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo. Dhana hii si kweli kwani sehemu inayoathiriwa zaidi na tatizo hili ni sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo ijulikanayo kama Duodenum.

AINA YA VIDONDA VYA TUMBO.
1. Vidonda vinavyotokea katika mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo. Vidonda hivi hujulikana kama Gastric Ulcers.
2. Vidonda vinavyotokea katika sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo. Vidonda hivi hujulikana kwa kitaalamu kama Duodenal Ulcers.
3. Vidonda vinavyotokea katika koo (Oesophageal Ulcers)
4. Vidonda aina ya Merckel's Diverticulum Ulcers. Vidonda vya aina hii huweza kusababisha matatizo makubwa ya utumbo (intestinal obstructions)

CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
1. Maambukizi ya Bakteria aina ya Helicobacter pylor. Imeonekana kuwa zaidi ya 50% ya watu Duniani wana vimelea hivi katika utumbo. Aidha, miongoni mwao huwa hawaonyeshi dalili yoyote ya kuugua ugonjwa wa vidonda vya tumbo.
2. Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kuondoa maumivu za kundi la NSAIDs. Ukuta wa utumbo hujilinda na madhara yatokanayo na tindikali ya utumbo (gastric acid) kwa kuwa na utando laini (mucus) ambao hutolewa na vichocheo vijulikanavyo kama Prostaglandins. Dawa hizi za kundi la NSAIDs huharibu mfumo wa utengenezaji vichocheo hivi yaani Prostaglandins na hivyo kufanya kuta za tumbo kukosa utando wa kuzilinda na mashambulizi ya tindikali hali ambayo hupelekea kutokea kwa vidonda vya tumbo.
3. Vyakula au viungo vya vyakula vyenye uchachu. Kinyume na ilivyozoeleka kwa wengi, baadhi ya vyakula vyenye uchachu na upilipili kama pilipili, ndimu, limao na masala havina uhusiano na uwezekano wa kupata vidonda vya tumbo.
4. Uvutaji wa sigara. Uvutaji wa sigara sambamba na maambukizi ya bakteria aina ya Helicobacter pylor huongeza madhara ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo. Ifahamike kuwa uvutaji wa sigara pekee hautoshi kusababisha vidonda vya tumbo isipokuwa kwa kushirikiana na bakteria wa Helicobacter pylor.
5. Watu walio katika kundi la damu la O. Imeonekana pia kwamba kundi la damu la BLOOD GROUP O, halina uhusiano wa kusababisha vidonda vya tumbo.
6. Unywaji wa pombe. Unywaji wa pombe kwa kushirikiana na bakteria wa Helicobacter pylor huongeza madhara ya vidonda vya tumbo.
Vitu vingine vinavyohusishwa na uongezaji wa ugonjwa wa vidonda vya tumbo ni pamoja na Upasuaji wa tumbo (major abdominal surgeris), kuungua kwa moto (burns), ugonjwa wa figo na kubadilishiwa kwa viungo vya mwili kama figo au ini.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
-Maumivu makali au kiungulia maeneo ya chembe moyo (epigastric pains).
-Maumivu makali kipindi cha kula au baada ya kula.
-Maumivu makali wakati unapokuwa na njaa.
-Kuvimbiwa au tumbo kujaa gesi. Hali hii yaweza kuendana pamoja na kubeua au kujamba mara kwa mara.
-Kucheua au kuongezeka kwa mate yanayoshuka tumbomi baada ya kucheua.
-Kichefuchefu na kutapika.
-Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito.
-Kutapika damu.
-Kupata haja kubwa ya rangi nyeusi au kahawia chenye harufu mbaya sana. Hii humaanisha kuwa mgonjwa anapata haja kubwa au choo kilichochanganyika na damu kwa mbali.
Uwepo wa dalili kama kiungulia cha muda mrefu, kucheua na kutapika baada ya kula na historia ya kutumia  dawa za kupunguza maumivu NSAIDs kwa muda mrefu bila kufuata ushauri wa Daktari ni ishara moja ya kumfanya mgonjwa kumuona Daktari kumpima na kumfanyia uchunguzi ili kujiridhisha kuwa hana tatizo la vidonda vya tumbo.

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO
Mara nyingi mchanganyiko wa dawa za Antibiotics mbili hasa Amoxyllin + Metronidazole sambamba na dawa yoyote ya jamii ya PPI kama Pantoprazole au Omeprazole. Hiyo ni kwa mgonjwa wa vidonda ambavyo siyo sugu.
Vidonda sugu inampasa mgonjwa kutumia dawa za antibiotics za aina tatu kama Amoxyllin + Clarithromycin + Metronidazole ambazo hutumika sambamba na dawa yoyote moja kutoka kundi la PPI kama Omeprazole na Pantoprazole pamoja na Bismuth Compound.

Iwapo hakuna ushahidi wa kuwepo kwa uambukizi wa bakteria, dawa yoyote moja ya jamii ya PPI yaweza kutumika kwa muda mrefu bila kuchanganya na antibiotic yoyote.
Hata hivyo inawezekana kabisa ugonjwa huu kujirudia, hivyo ni vyema kuhakikisha unapata matibabu sahihi na uhakikishe unamaliza dozi kwa muda sahihi. Kumekuwa na watu wengi kuanza matibabu vizuri lakini huishia njiani na kutomaliza dozi. Huu siyo ugonjwa mdogo kwamba utumie dawa kwa siku tatu au wiki moja kisha unapona, huu ni ugonjwa sugu hivyo matibabu yake pia ni ya muda mrefu kidogo kutegemeana na aina ya dawa unazotumia.
Dawa iliyotengenezwa kwa mmea wa Mwalovera imekuwa msaada mkubwa kwa wagonjwa wote wa vidonda vya tumbo. Hutibu kabisa vidonda vya tumbo kwa kuwaangamiza kabisa bakteria wote wasiofaa katika tumbo. Dozi tatu za dawa hii kwa muda wa miezi mitatu humaliza kabisa ugonjwa huu.

=>Kuipata dawa hii wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 0622925000 utaweza kuipata mahali popote ulipo.

MAUMIVU MAKALI YA KIFUA (ANGINA PECTORIS)

 Huu ni ugonjwa wa Moyo unaohusisha mgonjwa kupata maumivu makali upande wa kushoto wa kifua na maumivu hayo huenda mpaka shavuni, shingoni, mkono wa kushoto na hata mpaka mgongoni. Kwa hiyo mtu aliye na dalili hizo basi tambua ana tatizo la moyo na ugonjwa huo huitwa Angina Pectoris.
  Ugonjwa huo husababishwa hasa na kupungua kwa ujazo wa mishipa ya moyo na hivyo kuufanya moyo wenyewe usiweze kupata damu ya kutosha na kusababisha hewa ya Oxygen kupungua katika minofu ya moyo(myocard).
 Tatizo hili la mishipa hutokana na kula mafuta mengi hasa ya wanyama kama kitimoto, mafuta ya pamba, kula vyakula vya wanga kwa wingi na unywaji wa bia. Hivyo vyote vikiingia mwilini huendelea kuhifadhiwa kama mafuta. Vyanzo vingine vya tatizo hili ni uvutaji wa sigara, kutofanya mazoezi, kuwa na wasiwasi/mawazo kila mara na ugonjwa wa shinikizo la damu(B.P).
 Ugonjwa huu wa Angina Pectoris umegawanyika katika sehemu tatu(3);
1. Maumivu ayapatayo mtu wakati akifanya kazi ngumu au anatembea zaidi ya mita 100. Maumivu hayo hutokana na moyo kuongezeka kufanya kazi lakini damu ya Oxygen inakuwa haitoshi.
2. Maumivu yatokeayo wakati mtu akitembea chini ya mita 100 au kufanya kazi kidogo tu au kupanda ngazi ya ghorofa.
3. Maumivu ayapatayo mtu wakati amekaa au amepumzika tu.
NB: kama ukiwa na maumivu ya aina hizo tatu, tafadhali acha shughuli zote utakazokuwa unazifanya muda huo kisha hakikisha unafungua madirisha ya nyumba ili upate hewa ya kutosha.
Wagonjwa wa tatizo hili hushauriwa mara zote kutembea na vidonge vya Nitroglycerin kwa ajili ya kuondoa maumivu hayo pindi tu yanapowapata. Lakini vidonge hivyo huishia kuondoa maumivu tu na siyo kutibu tatizo.
Ugonjwa huu huweza kutibika kwa kiasi fulani kwa kubadili tabia zetu mfano kuacha kabisa kunywa pombe kali, kutokula mafuta mengi, kula chakula kwa wakati unaotakiwa, kuacha kuvuta sigara, kufanya mazoezi japo kwa kutembea kwa kasi hata kwa muda wa nusu saa au saa moja tu mara tatu kwa wiki na kutibu shinikizo la damu.
Pia kuna dawa iliyotengenezwa kwa majani ya *biloba*. Majani hayo yanapatikana nchini China na Thailand pekee. Dawa hii imeboreshwa na kuweza kutengenezwa katika mfumo wa vidonge na hivyo kuwa rahisi kupatikana sehemu zote hata hapa Tanzania.
 Endapo una ndugu au mtu wako wa karibu mwenye tatizo hilo tafadhali wasiliana nasi kwa 0767925000 au Whatsapp 0622925000 ili ujipatie dawa hiyo popote ulipo.

Saturday, 11 July 2015

MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO(URINARY TRACT INFECTIONS)

Maambukizi katika njia ya mkojo hujulikana zaidi kwa jina la UTI, kirefu chake ni Urinary Tract Infections.
Maambukizi haya tunaweza kuyaweka katika makundi makuu mawili:
(1) Maambukizi ya chini katika njia ya mkojo(lower urinary tract infections).
   Hii inahusisha mrija wa mkojo(urethra) na kibofu cha mkojo.
(2) Maambukizi ya juu katika njia ya mkojo(upper urinary tract infections.
  Haya ni maambukizi ambayo hupanda na kusababisha maambukizi kwenye figo.

Pia tunaweza kuchanganua ugonjwa huu katika namna kuu mbili.
(1) Acute UTI.
  Hii ni UTI ya kawaida tu. Haya ni maambukizi yanayoambatana na dalili zinzosababishwa na usumbufu wa maradhi kwenye njia ya mkojo. Kwa mfano kuumia wakati wa kukojoa, kukojoa mara kwa mara n.k.
(2) Chronic UTI.
  Hii mara nyingi huwa tunaiita UTI sugu. Katika hali hii huambatana na dalili za hatari kama kukojoa damu inayoweza kuonekana kwa macho tu bila msaada wa Microscope au kukojoa mkojo wenye chembechembe za damu nyekundu ambazo haziwezi kuonekana kwa macho. Sasa ukiona dalili hizo unaweza kujua kama una UTI sugu. Na unapofikia hali hii mara nyingi tunaamini kuwa tayari figo imeshambuliwa(pyelonephritis). Hapa ni kitendo cha kushambuliwa kwa kuta za nje za njia ya mkojo. Hapa mgonjwa anakuwa anasikia maumivu makali sana kwenye pingili za chini ya mgongo zikiambatana na dalili za tumbo kuuma chini ya kitovu na kukojoa mkojo wenye damu.

KWANINI WATU WENGI KILA KONA NI UTI?
Hii ni kwa sababu watu hawafuati utaratibu au kanuni za kuchukua vipimo maabara. Mfano kipimo cha UTI kwa Maabara tunapima kipimo cha mwanzo kwa kutumia mkojo wa katikati yaani MID STREAM URINE. Tatizo wengi wetu tukienda Hospitali tunaambiwa KAKOJOE HUMU ULETE MKOJO!
Mkojo wa mwanzo ni lazima upitie normal flora(bacteria rafiki/wasio na madhara), na kipimo cha mkojo huwa hakibagui, hapo ni lazima kitasoma una bacteria wengi kumbe wala siyo bacteria wenye madhara. Hapo inatakiwa ukojoe mkojo wa mwanzo umwagike kwanza ndipo uje uchukue mkojo unaofuata(wa katikati au mid stream urine catch).

WATU AMBAO WAPO HATARINI KUPATA UTI
=>Watoto wadogo wanaotumia Nepi maana wao hujikojolea humohumo. Hivyo mtoto mdogo kama humbadilishii Nepi mara kwa mara, huzinyooshi ili ziwe safi ana hatari ya kuugua UTI.
=>Wanaume wa umri mkubwa ambao hawajafanyiwa tohara.
=>Mwanamke yeyote yupo hatarini kupata UTI kwa sababu njia ya haja kubwa ipo karibu sana na njia ya uzazi. Na hivyo wengi wa wanawake wanapokuwa katika zoezi la kujisafisha hujisafisha kwa kupeleka uchafu mbele badala ya kusukuma huo uchafu kwa nyuma. Pia wanawake njia yao ya mkojo(urethra) ni fupi ukilinganisha na ya mwanaume. Kwa wanaume ni nadra sana bacteria kufika kwenye kibofu. Maambukizi ya kibofu huitwa CYSTIS.
=>Watu wenye wapenzi wengi yaani michepuko mingi na hawatumii kinga wakati wa kufanya mapenzi.
=>Wanawake wanaotumia nguo wakati wa kujihifadhi hedhi bila kuzikausha vizuri na kuzinyoosha. Kuna wanawake wengi hufua nguo na kuanika ndani nguo wanazotumia wakati wa hedhi.
=>Wanawake wanaotumia ped za madukani ambazo hazina viwango na kuchelewa kubadilisha ped.
=>Matumizi mabaya ya Antibiotics husababisha walinzi wa sehemu za siri kufa na kufanya bacteria nyemelezi kuvamia na kuanza kuharibu mazingira. Hivyo antibiotics ni nzuri lakini zitumiwe kwa misingi maalumu maana normal flora wakifa basi utashambuliwa na kila bacteria au fangasi ambao ni nyemelezi.

JE, VYOO VICHAFU NI CHANZO CHA UTI?
Watu wengi tumekuwa na visingizio kuwa bacteria wa chooni huwezi kuruka na kuingia katika via vya uzazi na kusababisha ugonjwa wa UTI. Ukweli ni kwamba hao bacteria hawana mabawa ya kuwafanya waruke ila sisi watu ndio huwa tunakiuka taratibu za kujisafisha tuwapo chooni. Kwa maana hiyo utaweza kuambukizwa UTI kupitia hivyo vyoo vichafu hasa vya jumuia endapo tu hautatumia Tishu zenye Antibiotics kujifutia.

SASA TUANGALIE TIBA YA UGONJWA HUU KWA KUTUMIA PED ZENYE ANIONS CHIP ZISIZO NA MADHARA.
Anions hizi zimewekwa katikati ya ped kwa kutumia pamba nyepesi. Hali hii huifanya sehemu husika ikilowa maji au damu, inafyonza damu yote na kuruhusu hewa kupenya na kusafisha joto lote kukausha unyevunyevu wote. Hewa inapopita inaondoa joto lote na kuondoa mazingira ya bacteria waharibifu kuweza kuota au kuishi maeneo hayo. Pia inasafisha na kukausha unyevunyevu wote ambao ukiachwa wadudu kama bacteria au fangasi huweza kuchekelea na kuzaliana kwa fujo. Hivyo kwa staili hiyo mwanamke au msichana unakuwa mkavu na hakuna joto kabisa kama vile kuna AC kwa jinsi utakavyojisikia mwenye amani.

SASA TUONE KAZI NA FAIDA YA HIZO ANION CHIP
=>Tujue kuwa hizo anions chip ni negative charged, yaani anions inapokuwa inatolewa inakuwa inatengeneza oxygen ambayo hii huzuia bacteria wote wanaoweza kustawi bila kuhitaji oxygen yaani Anaerobic Bacteria. Mfano mzuri ni mtu anayekuwa na kidonda cha anaerobes huwa kinanuka sana . Hivyohivyo harufu mbaya sehemu za siri kwa wanawake husababishwa na kuoteana kwa bacteria hawa. Hivyo kwa kutumia ped hizo hii hali huondoka kabisa.
=>Huzuia kansa ya shingo ya kizazi.
=>Hutibu kabisa UTI ya aina yoyote
=>Huzibua mirija ya uzazi kwa watu wenye matatizo ya uzazi
=>Huzuia harufu mbaya sehemu za siri
=>Inazuia maambukizi yote ya kizazi hasa unapokuwa katika mazingira hatarishi kama mabwawa ya kuogelea
=>Zinarekebisha tatizo la uwiano wa vichocheo au hormonal imbalances
=>Hurekebisha siku za hedhi kwa wanawake ambao siku zao za hedhi hubadilikabadilika.
=>Huondoa tatizo la kuumwa kichwa na tumbo wakati wa hedhi.
Ped hizo zinapatikana sehemu nyingi hapa nchini. Piga simu namba 0767925000 au whatsapp 0622925000 utazipata popote utakapokuwa. Pia zinapatikana kwa bei ya jumla na rejareja.

Friday, 3 July 2015

TAMBUA MWILI UNAVYOPATA SUMU NA NAMNA YA KUZIONDOA

Sumu ni kitu chochote ambacho huhatarisha utendaji kazi wa mfumo katika mwili.
Sumu huleta madhara ya aina mbili katika mwili
1. Madhara yasiyoweza kurekebishika (irreversible effects).
Madhara haya ni kama vile makovu, upofu, matatizo ya akili, matatizo ya damu, ukiziwi, kulemaa au kupooza n.k
2. Madhara yanayoweza kurekebishika.
Madhara haya ni kama vile uvimbe, kuwashwa kwa ngozi, ngozi kuwa kavu, kutokwa majipu, mwili kubadilika ngozi n.k
VYANZO VYA SUMU KATIKA MIILI YETU
Mwili hupata sumu kupitia njia tofauti kama tatu hivi:
i/ kupitia vitu ambavyo vipo nje ya mwili.
Hivi ni vitu ambavyo binadamu huvitumia na hatimaye humuathiri. Mtu huvitumia kwa kujua au kutojua. Mfano matumizi ya kemikali aina ya Zebaki (Mercury). Hii huathiri sana mapafu na moyo. Pia utumiaji mbovu wa dawa, ulaji mbovu wa vyakula, unywaji wa pombe, uvutaji wa sigara na madawa ya kulevya n.k
ii/ Miili yetu yenyewe huzalisha sumu kupitia mifumo take mbambali ya kazi. Mfano mifumo ya mmeng'enyo wa chakula, mfumo wa hewa n.k. Katika mifumo hiyo baadhi ya sumu huzalishwa na kemikali(free radicals) ambazo hazitakiwi mwilini.
JNSI YA KUZIONDOA SUMU
Zoezi la kuondoa sumu mwilini hutegemea na aina ya sumu yenyewe. Kuna dawa ya kuvunja sumu(antidote). Hapa ni baada ya uchunguzi kufanyika na kugundulika aina ya sumu na kisha kupewa dawa za kuivunja sumu hiyo.
Chakula bora pia ni njia mojawapo ya kuondoa sumu mwilini. Hapa tunakuwa tunamaanisha vyakula vya asili ambavyo ni "antioxidants", hulinda mwili na kemikali hatarishi. Vyakula vya Vitamini A, C na E hupatikana zaidi katika mboga na matunda.
Vyakula vinavyopatikana katika makundi hayo mchicha, spinach, karoti, nanasi, maembe, machenza, mafuta ya alizeti n.k
Swali la kujiuliza katika mboga za majani, je zina ubora unaotakiwa? Maana zinalimwa na zinakuzwa kwa dawa za kuua wadudu. Dawa hizo pamoja na mbolea zake ni kemikali balaa.
Zipo dawa zilizotengenezwa kwa mimea ya aloe vera na militaris zinaondoa sumu mwilini bila madhara yoyote. Mimea hii huota na kustawishwa Barani Afrika na Asia. Dawa hizi zipo katika mfumo wa kawaida kabisa wa vidonge na utavitumia kwa muda wa mwezi mzima.
Wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 0622925000 ili uweze kujipatia dawa hizo au ushauri wowote kuhusu matatizo ya Kiafya.

Thursday, 2 July 2015

AKINAMAMA: KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI(MENORRHAGIA)

Hili ni tatizo linalosumbua akinadada/mama. Hiki ni kitendo cha mwanamke kutumia siku nyingi akiwa hedhi au damu kutoka kwa wiki kuliko kawaida.
CHANZO CHA TATIZO
1. FIBROIDS - Hizi ni vimbe katika kizazi na zinaweza kuwa ndani ya kizazi au nje
2. ENDOMETRIASIS - Hii ni hali ambayo seli za ukuta wa kizazi huenda kujiotesha sehemu nyingine. Automatically mwanamke akiwa na hali hii anaweza kupata hedhi hata mara mbili kwa mwezi au mara moja lakini akatumia siku nyingi kuliko kawaida.
3. Hormones imbalances. Ni kipindi ambacho kiwango cha vichocheo kinapokuwa hakiko katika usawa wake, hasa estrogen homoni.
4. Maambukizi katika mfuko wa kizazi
5. Kansa ya mfuko wa kizazi
DALILI ZA TATIZO
=>Kupata hedhi kwa zaidi ya siku saba
=>Kubadili ped zaidi ya moja ndani ya saa moja
=>Damu inayotoka kuonekana kuwa na dalili ya kuganda
=>Kuonyesha dalili za kuishiwa damu kipindi ukiwa kwenye hedhi
Tatizo hili kwa sasa linaathiri mwanamke mmoja kati ya wanawake watano.
USHAURI NA TIBA
Unapoona dalili hizo tafadhali jitahidi umuone daktari kwa matibabu maana siyo hali ya kawaida. Usitumie vidonge vya maumivu au vyovyote vya kemikali maana utakuwa unaongeza kama mbolea tu mwili hivyo tatizo la vichocheo(hormone imbalance) kuwa kubwa zaidi na zaidi. Akinamama wengi wanaumia na tatizo hili kwa kutokujua madhara ya vidonge wanavyovitumia pindi wakiwa kwenye hedhi.
Tumia matibabu ya mmea,  Tunayo dawa ya mmea ambayo iko katika mfumo wa vidonge utakayoitumia kwa mwezi mmoja. Inamaliza kabisa tatizo hilo.
Kama una tatizo hili au una ndugu yako ana shida hiyo basi usisite kuwasiliana nasi kwa namba 0767925000 au whatsapp 0622925000

Sunday, 28 June 2015

UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROIDS/MYOMA)

Kumekuwa na ongezeko kubwa la tatizo la akinamama kuwa na uvimbe kwenye kizazi. Suala hili ni gumu na hupelekea akinamama wengi kutozaa tena katika maisha yao japo hutegemeana na sehemu uvimbe ulipo.
Kwa leo tutaona ni jinsi gani ugonjwa huu tunavyoupata, dalili na matibabu yake yanavyokuwa. Tukumbuke kuwa mgonjwa wa uvimbe kwenye kizazi haendi hospitali kwa sababu ya ukubwa wa uvimbe bali anaenda Hospitali kutokana na dalili atakazokuwa anazipata. Wanawake wengi tu wanakuwa na tatizo hili lakini wanajikuta wanabeba hata mimba hadi wanajifungua salama. Hii ni kutokana kuwa bado hawajapata dalili za ugonjwa huu/yaani hawajaanza kusumbuliwa.

HIZI HAPA NDIYO DALILI ZA KUWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI
1. Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi
2. Kupata hedhi mara nyingi zaidi ya siku za kawaida
3. Kuumwa na tumbo la hedhi zaidi ya kawaida
4. Kutokwa na uchafu na majimaji yenye harufu kali sehemu za siri
5. Kukojoa mara kwa mara
6. Figo kujaa maji na kusababisha kiuno kuuma sana(uvimbe umekandamiza ureter moja)
HIZO NDIYO DALILI ZINAZOMFANYA MGONJWA KWENDA HOSPITALI NA SIYO UKUBWA WA UVIMBE.

Mgonjwa anapofika na dalili hizo hubidi kufanyiwa kipimo cha picha ya tumbo(ultrasound) lengo na madhumuni ya kipimo hicho ni kujua uvimbe upo wapi, kujua uvimbe uko mmoja au zaidi, kutambua kama uvimbe umeathiri sehemu zingine kama kuziba ureter kama upo nje ya kizazi. Kipimo hicho kitamsaidia Daktari kujua anamsaidiaje mgonjwa wake kimatibabu.
VISABABISHI VYA UVIMBE KWENYE KIZAZI
-Kisababishi kikuu ni kuharibika kwa uwiano wa vichocheo vya estrogen na kusababisha kiwango cha estrogen kuwa kikubwa.
-ulaji wa vyakula vya viwandani vilivyovundikwa au kuhifadhiwa kwa msaada wa kemikali
-unywaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi (added sugar), kionjo na rangi ambavyo ni industrial products
-unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara

WATU AMBAO WAPO HATARINI KUPATA UGONJWA HUU
~Wanawake wote ambao hawajawahi kupata mtoto
~wanawake wote ambao wapo katika umri wa kuweza kuzaa, maana yake wote kuanzia umri wa kubalehe hadi kikomo cha kuzaa ~wanawake wanene kupita kiasi n.k

MATIBABU
Matibabu yake yanaweza kuwa kama ifuatavyo kutegemeana sehemu uvimbe ulipo
=>kupewa vidonge vya kutuliza maumivu tu, vidonge hivyo ni ghali sana lakini pia mgonjwa hushauriwa kutumia kwa muda mfupi tu kwani vina madhara ya kuweza kumfanya mwanamke kuwa na muonekano wa kiume kana vile kuota ndevu n.k
=>kufanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe tu endapo uvimbe upo pembeni ya kizazi. Ukifanyiwa hiyo Huduma bado mwanamke unaweza kupata mimba na kuzaa.
=>kufanyiwa upasuaji wa kuondoa kabisa kizazi endapo Uvimbe upo ndani ya kizazi. Hapa mwanamke akifanyiwa upasuaji huu hawezi kuzaa tena katika maisha yake yote
NB: KUMBUKA KUWA HATA KAMA UTAUONDOA UVIMBE HUO, HAIMAANISHI KUWA UVIMBE UMEISHA, TATIZO HUJIRUDIA TENA MAANA BADO UNAKUWA HUJATIBU VYANZO VYA TATIZO AMBAVYO NI PAMOJA NA UWIANO MBOVU WA HORMONES NA MENGINE.

Vipo vidonge vilivyotengenezwa kwa mimea na uyoga mwekundu unaopatikana katika nchi za China na Thailand vinatibu kabisa tatizo hilo la uvimbe kwenye kizazi kwa kusambaza, kukausha na hatimaye kuumaliza kabisa uvimbe huo. Vidonge hivyo vinapatikana sasa Tanzania na kama wewe una tatizo hilo au ndugu na rafiki zako wana tatizo hilo basi wasiliana nasi kwa 0767925000 au whatsapp 0622925000 uweze kujipatia vidonge hivyo